Publicidade

Hebreus 12

5 Je, mmesahau yale maneno ya kutia moyo ambayo Mungu anawataja ninyi kuwa wanawe? "Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana, wala usife moyo anapokukanya.6 Maana Bwana humwadhibu kila anayempenda, humpinga kila anayekubali kuwa mwanae."

Veja também

Publicidade
Hebreus
Ver todos os capítulos de Hebreus