5 Je, mmesahau yale maneno ya kutia moyo ambayo Mungu anawataja ninyi kuwa wanawe? "Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana, wala usife moyo anapokukanya.6 Maana Bwana humwadhibu kila anayempenda, humpinga kila anayekubali kuwa mwanae."
Publicidade
Hebreus 12
Veja também
Publicidade