17 "Baba ananipenda kwani nautoa uhai wangu ili nipate kuupokea tena.18 Hakuna mtu anayeninyanganya uhai wangu; mimi na nautoa kwa hiari yangu mwenyewe. Ninao uwezo wa kuutoa na uwezo wa kuuchukua tena. Hivi ndivyo Baba alivyoniamuru nifanye."
Publicidade
João 10
Veja também
Publicidade