43 Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: "Lazaro! Toka nje!"44 Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, "Mfungueni, mkamwache aende zake."
Publicidade
João 11
Veja também
Publicidade