43 Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: "Lazaro! Toka nje!"
44 Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, "Mfungueni, mkamwache aende zake."
43 Alipokwisha sema hayo, akaita kwa sauti kubwa: "Lazaro! Toka nje!"
44 Huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. Yesu akawaambia, "Mfungueni, mkamwache aende zake."