30 Lakini Yesu akawaambia, "Sauti hiyo haikutokea kwa ajili yangu mimi, ila kwa ajili yenu.31 Sasa ndio wakati wa ulimwengu huu kuhukumiwa; sasa mtawala wa ulimwengu huu atapinduliwa.32 Nami nitakapoinuliwa juu ya nchi nitamvuta kila mmoja kwangu."
Publicidade
João 12
Veja também
Publicidade