12 Alipokwisha waosha miguu na kuvaa tena vazi lake, aliketi mezani, akawaambia, "Je, mmeelewa hayo niliyowatendeeni?
15 Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.
12 Alipokwisha waosha miguu na kuvaa tena vazi lake, aliketi mezani, akawaambia, "Je, mmeelewa hayo niliyowatendeeni?
15 Nimewapeni mfano, ili nanyi pia mfanye kama nilivyowafanyieni.