13 Na chochote mtakachoomba kwa jina langu nitafanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.14 Mkiniomba chochote kwa jina langu, nitawafanyieni.15 "Mkinipenda mtazishika amri zangu.16 Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele.
Publicidade
João 14
Publicidade
Veja também
Publicidade