27 Kisha akamwambia Thoma, "Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka, ila amini!"28 Thoma akamjibu, "Bwana wangu na Mungu wangu!"
Publicidade
João 20
Veja também
Publicidade
27 Kisha akamwambia Thoma, "Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka, ila amini!"28 Thoma akamjibu, "Bwana wangu na Mungu wangu!"