29 "Basi, msivurugike akili, mkihangaika daima juu ya mtakachokula au mtakachokunywa.30 Kwa maana hayo yote ndiyo yanayohangaikiwa na watu wasiomjua Mungu. Baba yenu anajua kwamba mnahitaji vitu hivyo.31 Shughulikieni kwanza Ufalme wa Mungu, na hayo yote mtapewa kwa ziada.
Publicidade
Lucas 12
Veja também
Publicidade