Publicidade

Lucas 13

18 Yesu akauliza: "Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?19 NI kama mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake; ikaota hata ikawa mti. Ndege wa angani wakajenga viota vyao katika matawi yake."

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-04-20_11-41-06-