14 Saa ilipotimia, Yesu akakaa kula chakula pamoja na mitume wake.15 Akawaambia, "Nimetamani sana kula Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu.16 Maana nawaambieni, sitaila tena hadi hapo itakapokamilika katika Ufalme wa Mungu."
Publicidade
Lucas 22
Publicidade
Veja também
Publicidade