16 Alipokuwa anapita kando ya ziwa Galilaya, aliwaona wavuvi wawili: Simoni na Andrea ndugu yake wakivua samaki kwa wavu.17 Yesu akawaambia, "Nifuateni nami nitawafanya ninyi wavuvi wa watu."18 Mara wakaziacha nyavu zao, wakamfuata.
Publicidade
Marcos 1
Publicidade
Veja também
Publicidade