Publicidade

Marcos 3

28 "Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;29 lakini anayesema mabaya dhidi ya Roho Mtakatifu, hatasamehewa kamwe; ana hatia ya dhambi ya milele."30 Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, "Ana pepo mchafu.")

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-04-20_11-41-06-