13 Kisha watu wakamletea Yesu watoto wadogo ili awawekee mikono na kuwaombea. Lakini wanafunzi wakawakemea.14 Yesu akasema, "Waacheni hao watoto waje kwangu, wala msiwazuie; maana Ufalme wa mbinguni ni wa watu walio kama watoto hawa."15 Basi, akawawekea mikono, kisha akaondoka mahali hapo.
Publicidade
Mateus 19
Veja também
Publicidade