42 Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.43 Lakini kumbukeni jambo hili: kama mwenye nyumba angejua siku mwizi atakapofika, angekesha, wala hangeiacha nyumba yake ivunjwe.44 Kwa hiyo, nanyi pia muwe tayari, kwa maana Mwana wa Mtu atakuja saa msiyoitazamia."
Publicidade
Mateus 24
Veja também
Publicidade