28 Wakamvua nguo zake, wakamvika joho la rangi nyekundu.29 Kisha wakasokota taji ya miiba, wakamvika kichwani, wakamwekea pia mwanzi katika mkono wake wa kulia. Wakapiga magoti mbele yake, wakamdhihaki wakisema, "Shikamoo mfalme wa Wayahudi!"
Publicidade
Mateus 27
Publicidade
Veja também
Publicidade