6 Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.7 Wale wanaozingatia kutenda mema, kutafuta utukufu na heshima ya Mungu na kutokufa, watapata uzima wa milele.8 Lakini wale wengine wenye ubinafsi, wenye kukataa mambo ya haki na kufuata uovu, wataangukiwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
Publicidade
Romanos 2
Veja também
Publicidade