6 Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uzima na amani.

7 Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi kuitii.

8 Watu wanaotii matakwa ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu.