2 Ndugu zangu, muwe na furaha mnapopatwa na majaribu mbalimbali,
3 kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.
4 Muwe na hakika kwamba uvumilivu wenu utawategemeza mpaka mwisho, mpate kuwa wakamilifu na watimilifu, bila kupungukiwa chochote.