15 Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula.16 Yafaa kitu gani ninyi kuwaambia hao: "Nendeni salama mkaote moto na kushiba," bila kuwapatia mahitaji yao ya maisha?17 Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.
Publicidade
Tiago 2
Veja também
Publicidade