Publicidade

Tiago 3

17 Lakini hekima itokayo juu mbinguni, kwanza ni safi; inapenda amani, upole na huwajali watu; imejaa huruma na huzaa matunda ya matendo mema; haina ubaguzi wala unafiki.18 Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.

Veja também

Publicidade
Tiago
Ver todos os capítulos de Tiago