Pular para o conteúdo
Publicidade

10 versículos para fortalecer os laços familiares

Por Bíblia Online

A Bíblia enfatiza a importância da família e nos ensina como viver em harmonia com nossos entes queridos. Neste artigo, vamos explorar 10 versículos bíblicos que podem fortalecer os laços familiares e nos ajudar a refletir sobre o papel da família à luz da Palavra de Deus.

Versículos

1. Provérbios 22:6

Mfundishe mtoto njia impasayo kuiendea,

naye hataiacha hata akiwa mzee.

2. Salmos 127:3

Watoto ni urithi unaotoka kwa Mwenyezi Mungu,

uzao ni zawadi kutoka kwake.

3. Colossenses 3:20

Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hii inampendeza Bwana Isa.

4. Êxodo 20:12

Waheshimu baba yako na mama yako, ili upate kuishi siku nyingi katika nchi anayokupa Mwenyezi Mungu, Mungu wako.

5. Provérbios 1:8

Onyo dhidi ya ushawishi wa rafiki waovu

Mwanangu, sikiliza mwongozo wa baba yako,

wala usiyaache mafundisho ya mama yako.

6. Josué 24:15

Lakini msipoona vyema kumtumikia Mwenyezi Mungu, chagueni hivi leo mtakayemtumikia, kama ni miungu ile baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Frati, au miungu ya Waamori, ambao mnakaa katika nchi yao. Lakini mimi na nyumba yangu, tutamtumikia Mwenyezi Mungu."

7. Deuteronômio 6:6-7

Amri hizi ninazokupa leo zitakuwa katika moyo wako. Wafundishe watoto wako kwa bidii. Nena kuhusu amri hizi uketipo nyumbani na wakati utembeapo njiani, ulalapo na uamkapo.

8. Salmo 128:3

Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao

ndani ya nyumba yako;

wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni

kuizunguka meza yako.

9. Provérbios 15:20

Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake,

bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.

10. Efésios 5:25

Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama vile Al-Masihi alivyoipenda jumuiya ya waumini na akajitoa kwa ajili yake,

Esses versículos sobre a família nos lembram da importância de honrar, amar e cuidar uns dos outros. Medite neles e viva em harmonia, de acordo com os ensinamentos de Deus.

Compartilhe este artigo para inspirar outras famílias a serem fortalecidas pela Palavra de Deus.

Deus abençoe!

Seja o primeiro