Aniversário
O aniversário é momento de celebrar a vida que Deus nos deu. A Bíblia nos convida a agradecer por cada dia, contar nossos anos com sabedoria e alegrar-se na bondade do Senhor.
Agradecer pela vida
Este é o dia que o Senhor fez — alegremo-nos! Cada dia é presente de Deus, cada ano é prova da sua fidelidade.
Siku hii ndiyo aliyoifanya BWANA,
Tutashangilia na kuifurahia.
Haleluya.
Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema,
Kwa maana fadhili zake ni za milele.
Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA,
Wala usizisahau fadhili zake zote.
Ni neno jema kumshukuru BWANA,
Na kuliimbia jina lako sifa, Ee Uliye Juu.
Kuzitangaza rehema zako asubuhi,
Na uaminifu wako wakati wa usiku.
Maana ghadhabu zake ni za muda mfupi tu;
Radhi yake ni ya milele.
Kilio huweza kuwapo usiku,
Lakini furaha huja asubuhi.
Mpenzi naomba ufanikiwe katika mambo yote na kuwa na afya yako, kama vile roho yako ifanikiwavyo.
A obra de Deus em nós
Tu me teceste no ventre de minha mãe — maravilhosas são as tuas obras! Cada vida é obra-prima do Criador.
Maana Wewe ndiwe uliyeniumba mtima wangu,
Uliniunga tumboni mwa mama yangu.
Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa
Kwa njia ya ajabu ya kutisha.
Matendo yako ni ya ajabu,
Na nafsi yangu yajua sana,
Mifupa yangu haikusitirika kwako,
Nilipoumbwa kwa siri,
Nilipoungwa kwa ustadi katika pande za chini za nchi;
Macho yako yaliniona kabla sijakamilika;
Kitabuni mwako ziliandikwa zote pia,
Siku zilizoamriwa kabla hazijawa bado.
Mawazo yako ni mazito sana kwangu;
Ee Mungu; nayo ni makuu sana.
Maana Wewe ndiwe uliyeniumba mtima wangu,
Uliniunga tumboni mwa mama yangu.
Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa
Kwa njia ya ajabu ya kutisha.
Matendo yako ni ya ajabu,
Na nafsi yangu yajua sana,
Mifupa yangu haikusitirika kwako,
Nilipoumbwa kwa siri,
Nilipoungwa kwa ustadi katika pande za chini za nchi;
Macho yako yaliniona kabla sijakamilika;
Kitabuni mwako ziliandikwa zote pia,
Siku zilizoamriwa kabla hazijawa bado.
Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa,
Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu,
Ninakusifu Wewe daima.
Kwako nilitupwa tangu tumboni,
Toka tumboni mwa mamangu ndiwe Mungu wangu.
Naam, Wewe ndiwe uliyenitoa tumboni,
Ulinisalimisha matitini mwa mama yangu.
Kwako nilitupwa tangu tumboni,
Toka tumboni mwa mamangu ndiwe Mungu wangu.
Namshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, kwa sababu ya neema ya Mungu mliyopewa katika Kristo Yesu;
Oração de bênção
O Senhor te abençoe e te guarde. Tu és toda formosa e em ti não há defeito. Deus cuida de cada detalhe da tua vida.
BWANA akubariki, na kukulinda;
BWANA akuangazie nuru za uso wake, na kukufadhili;
BWANA akuinulie uso wake, na kukupa amani.
Mpenzi wangu, u mzuri kwa ujumla,
Wala ndani yako hamna kasoro.
Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake;
Anaucheka wakati ujao.
Hufumbua kinywa chake kwa hekima,
Na sheria ya wema iko katika ulimi wake.
Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili;
Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa.
Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu,
Kama kikionekana katika njia ya haki.
Namshukuru Mungu wangu kila niwakumbukapo,
Sabedoria e alegria
Ensina-nos a contar os nossos dias. Deus encheu nosso cálice de alegria e o seu caminho mostra-se vida em plenitude.
Basi, utufundishe kuzihesabu siku zetu,
Tujipatie moyo wa hekima.
BWANA, unijulishe mwisho wangu,
Na idadi ya siku zangu ni ngapi;
Nijue jinsi maisha yangu yalivyo mafupi.
Tazama, umefanya siku zangu kuwa mashubiri;
Maisha yangu ni kama si kitu mbele zako.
Kila mwanadamu, ingawa amesitawi, ni ubatili.
Utanijulisha njia ya uzima;
Mbele za uso wako kuna furaha tele;
Na katika mkono wako wa kulia
Mna mema ya milele.
Umenitia furaha moyoni mwangu,
Kupita yao wanapozidishiwa nafaka na divai.
Neno moja nimelitaka kwa BWANA,
Nalo ndilo nitakalolitafuta,
Nikae nyumbani mwa BWANA
Siku zote za maisha yangu,
Niutazame uzuri wa BWANA,
Na kutafakari hekaluni mwake.
Hakika wema na fadhili zitanifuata
Siku zote za maisha yangu;
Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.
Na ahimidiwe BWANA, mwamba wangu,
Aifundishaye mikono yangu vita,
Na vidole vyangu kupigana.
Mwamba wangu na ngome yangu,
Nguzo yangu na mwokozi wangu
Ngao yangu ninayemkimbilia,
Huwatiisha watu wangu chini yangu.
Sasa najua kuwa BWANA amwokoa masihi wake;
Atamjibu toka mbingu zake takatifu,
Kwa matendo makuu ya wokovu
Ya mkono wake wa kulia.
Hawa wanataja magari na hawa farasi,
Lakini sisi tutalitaja jina la BWANA, Mungu wetu.
Wao wameinama na kuanguka,
Bali sisi tumeinuka na kusimama.
Mimi, BWANA, nililinda,
Nitalitia maji kila dakika,
Asije mtu akaliharibu;
Usiku na mchana nitalilinda.
Proteção e fidelidade
O Senhor pelejará por vós. Fiel é o Senhor que vos guarda — Ele te protege de todo mal o tempo todo.
kwa maana BWANA, Mungu wenu, ndiye awaandamaye kwenda kuwapigania juu ya adui zenu, ili kuwaokoa ninyi.
Lakini Bwana ni mwaminifu, atakayewafanya imara na kuwalinda kutoka kwa yule mwovu.
Ila Mungu ashukuriwe, anayetufanya tushangilie ushindi daima katika Kristo, na kuidhihirisha harufu ya kumjua yeye kila mahali kwa kazi yetu.
Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda;
Naye heri aliyesadiki; kwa maana yatatimizwa aliyoambiwa na Bwana.