Publicidade

Benção

Por Bíblia Online

A bênção de Deus é promessa garantida para os que o temem. O Senhor abençoa, guarda, faz resplandecer o rosto sobre nós e nos dá a paz — presente eterno e imerecido.

A bênção sacerdotal

O Senhor te abençoe e te guarde. O Senhor faça resplandecer o seu rosto sobre ti e te dê a paz.

" ‘ "Bwana akubariki

na kukulinda;

Bwana akuangazie nuru ya uso wake

na kukufadhili;

Bwana akugeuzie uso wake

na kukupa amani." ’

" ‘ "Bwana akubariki

na kukulinda;

Bwana akuangazie nuru ya uso wake

na kukufadhili;

Bwana akugeuzie uso wake

na kukupa amani." ’

Bwana huwapa watu wake nguvu;

Bwana huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.

Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

Bênçãos prometidas

Provai e vede que o Senhor é bom. Deus é poderoso para suprir toda a vossa necessidade segundo as suas riquezas.

Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema,

heri mtu yule anayemkimbilia.

Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema,

heri mtu yule anayemkimbilia.

Naye Mungu wangu atawajaza ninyi na kila mnachohitaji kwa kadiri ya utajiri wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu.

Naye Mungu wangu atawajaza ninyi na kila mnachohitaji kwa kadiri ya utajiri wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu.

Mkabidhi Bwana lolote ufanyalo,

nayo mipango yako itafanikiwa.

Mkabidhi Bwana lolote ufanyalo,

nayo mipango yako itafanikiwa.

Yeyote anayekubali mafundisho hustawi,

tena amebarikiwa yeye anayemtumaini Bwana.

Baraka ya Bwana hutajirisha,

wala haichanganyi huzuni.

Fruieis do Senhor

Quão grande é a bondade que reservou para os que te temem! O Senhor é meu pastor e de nada terei falta.

Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako,

uliowawekea akiba wakuchao,

ambao huwapa wale wakukimbiliao

machoni pa watu.

Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako,

uliowawekea akiba wakuchao,

ambao huwapa wale wakukimbiliao

machoni pa watu.

Bwana ndiye mchungaji wangu,

sitapungukiwa na kitu.

Hunilaza katika malisho

ya majani mabichi,

kando ya maji matulivu huniongoza,

Bwana ndiye mchungaji wangu,

sitapungukiwa na kitu.

Hunilaza katika malisho

ya majani mabichi,

kando ya maji matulivu huniongoza,

Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana.

Baraka yako na iwe juu ya watu wako.

Heri wale wanaozishika shuhuda zake,

wamtafutao kwa moyo wao wote.

Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki,

jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.

Na akutumie msaada kutoka patakatifu

na akupatie msaada kutoka Sayuni.

Na azikumbuke dhabihu zako zote,

na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.

Na akujalie haja ya moyo wako,

na aifanikishe mipango yako yote.

Na akujalie haja ya moyo wako,

na aifanikishe mipango yako yote.

Obediência e bênção

Se obedecerdes, todas estas bênçãos virão sobre vós. Trazei todos os dízimos e provarei que vos abrirei janelas do céu.

Kama ukimtii Bwana Mungu wako kwa bidii na kufuata amri zake zote ninazokupa leo kwa bidii, Bwana Mungu wako atakuweka juu ya mataifa yote katika dunia.

Ninakuamuru leo kwamba umpende Bwana Mungu wako, utembee katika njia zake, na kutunza maagizo yake, amri na sheria zake; ndipo utakapoishi na kuongezeka, naye Bwana Mungu wako atakubariki katika nchi unayoingia kuimiliki.

Ninakuamuru leo kwamba umpende Bwana Mungu wako, utembee katika njia zake, na kutunza maagizo yake, amri na sheria zake; ndipo utakapoishi na kuongezeka, naye Bwana Mungu wako atakubariki katika nchi unayoingia kuimiliki.

Leteni zaka kamili ghalani, ili kuwe na chakula katika nyumba yangu. Nijaribuni katika hili," asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, "nanyi mwone kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni na kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutosha.

Leteni zaka kamili ghalani, ili kuwe na chakula katika nyumba yangu. Nijaribuni katika hili," asema Bwana Mwenye Nguvu Zote, "nanyi mwone kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni na kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutosha.

Utamwabudu Bwana Mungu wako, na baraka zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni mwako,

Utamwabudu Bwana Mungu wako, na baraka zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni mwako,

Kwa maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili yenu," asema Bwana, "ni mipango ya kuwafanikisha na wala si ya kuwadhuru, ni mipango ya kuwapa tumaini katika siku zijazo.

Kwa maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili yenu," asema Bwana, "ni mipango ya kuwafanikisha na wala si ya kuwadhuru, ni mipango ya kuwapa tumaini katika siku zijazo.

"Lakini amebarikiwa mtu ambaye tumaini lake ni katika Bwana,

ambaye matumaini yake ni katika Bwana.

Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji

uenezao mizizi yake karibu na kijito cha maji.

Hauogopi wakati wa joto ujapo;

majani yake ni mabichi daima.

Hauna hofu katika mwaka wa ukame

na hautaacha kuzaa matunda."

"Lakini amebarikiwa mtu ambaye tumaini lake ni katika Bwana,

ambaye matumaini yake ni katika Bwana.

Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji

uenezao mizizi yake karibu na kijito cha maji.

Hauogopi wakati wa joto ujapo;

majani yake ni mabichi daima.

Hauna hofu katika mwaka wa ukame

na hautaacha kuzaa matunda."

Frutos do Espírito

O fruto do Espírito é amor, alegria, paz. Bem-aventurados os pacificadores. A bênção flui da vida no Espírito.

Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria.

Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria.

Heri wenye njaa na kiu ya haki,

maana hao watatoshelezwa.

Heri walio wapatanishi,

maana hao wataitwa wana wa Mungu.

"Bwana wake akamwambia, ‘Umefanya vizuri sana, mtumishi mwema na mwaminifu! Umekuwa mwaminifu kwa vitu vichache; nami nitakuweka kuwa msimamizi wa vitu vingi. Njoo ushiriki katika furaha ya bwana wako!’

"Lakini nawaambia ninyi mnaonisikia: Wapendeni adui zenu. Watendeeni mema wanaowachukia. Wabarikini wale wanaowalaani, waombeeni wale wanaowatendea mabaya.

"Lakini nawaambia ninyi mnaonisikia: Wapendeni adui zenu. Watendeeni mema wanaowachukia. Wabarikini wale wanaowalaani, waombeeni wale wanaowatendea mabaya.

Vivyo hivyo mtu mwema hutoa mambo mema kutoka kwenye hazina ya moyo wake, naye mtu mwovu hutoa mambo maovu kutoka kwenye hazina ya moyo wake. Kwa kuwa mtu hunena kwa kinywa chake yale yaliyoujaza moyo wake.

Abençoar e ser abençoado

Abençoai os que vos perseguem. Não retornem mal por mal, mas bênção por maldição — pois para isso fostes chamados.

Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani.

Msilipe ovu kwa ovu, au jeuri kwa jeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloitiwa ili mpate kurithi baraka.

Msilipe ovu kwa ovu, au jeuri kwa jeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloitiwa ili mpate kurithi baraka.

Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu wetu kuhusu jambo hili, naye akajibu maombi yetu.

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-22_10-02-25-