Publicidade

Crianças

Por Bíblia Online

As crianças ocupam lugar especial no coração de Deus. A Bíblia instrui a educá-las, protegê-las e ensiná-las nos caminhos do Senhor desde cedo — formando gerações que temem a Deus.

Herança do Senhor

Os filhos são herança do Senhor. Eles são presentes de Deus — cada criança é um milagre e uma responsabilidade sagrada.

Tazama, watoto ni urithi kutoka kwa BWANA,

Uzao wa tumbo ni thawabu.

Wavulana wetu wakiwa ujanani wawe kama miche

Iliyostawi kikamilifu.

Binti zetu wawe kama nguzo za pembeni

Zilizochongwa ili kupamba kasri.

Maana Wewe ndiwe uliyeniumba mtima wangu,

Uliniunga tumboni mwa mama yangu.

Nitakushukuru kwa kuwa nimeumbwa

Kwa njia ya ajabu ya kutisha.

Matendo yako ni ya ajabu,

Na nafsi yangu yajua sana,

* * *

Jinsi gani kijana aisafishe njia yake?

Kwa kutii, akilifuata neno lako.

* * *

Jinsi gani kijana aisafishe njia yake?

Kwa kutii, akilifuata neno lako.

Njoni, enyi wana, mnisikilize,

Nami nitawafundisha kumcha BWANA.

Instruir as crianças

Instrui a criança no caminho em que deve andar. A educação cristã é mandamento repetido através de toda a Escritura.

Mlee mtoto katika njia impasayo,

Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

Mlee mtoto katika njia impasayo,

Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

Mlee mtoto katika njia impasayo,

Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto;

Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.

Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto;

Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.

Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe;

Bali yeye ampendaye humrudi mapema.

Mwana mwenye hekima husikiliza mausia ya babaye;

Bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.

Maonyo juu ya kumwamini na kumheshimu Mungu

Mwanangu, usiisahau sheria yangu,

Bali moyo wako uzishike amri zangu.

Maana zitakuongezea wingi wa siku.

Na miaka ya uzima, na amani.

Maonyo juu ya kumwamini na kumheshimu Mungu

Mwanangu, usiisahau sheria yangu,

Bali moyo wako uzishike amri zangu.

Kwa kuwa BWANA ampendaye humrudi,

Kama vile baba mwanawe ampendezaye.

Naye akanifundisha, akaniambia,

Moyo wako uyahifadhi maneno yangu;

Shika amri zangu ukaishi.

Jipatie hekima, jipatie ufahamu; usiusahau;

Wala usiyakatae maneno ya kinywa changu.

Disciplinar com amor

A vara e a repreensão dão sabedoria. A disciplina produz o fruto pacífico da justiça nos que são exercitados por ela.

Fimbo na maonyo hutia hekima;

Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye.

Usimnyime mtoto wako mapigo;

Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.

Msikilize baba yako aliyekuzaa,

Wala usimdharau mama yako akiwa mzee.

Inunue kweli, wala usiiuze;

Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu.

Apotezaye mali za babaye na kumfukuza mamaye,

Ni mwana aaibishaye, na kuleta lawama.

Afadhali maskini aendaye katika uadilifu wake,

Kuliko mpotovu wa midomo aliye mpumbavu.

Mwenye haki aendaye katika unyofu wake,

Watoto wake wabarikiwa baada yake.

Hata mtoto hujijulisha kwa matendo yake;

Kwamba kazi yake ni safi, kwamba ni adili.

Mwana mpumbavu ni huzuni kwa babaye,

Na uchungu kwa mamaye aliyemzaa.

Wana wa wana ndio taji la wazee,

Na utukufu wa watoto ni baba zao.

Wana wa wana ndio taji la wazee,

Na utukufu wa watoto ni baba zao.

Mpumbavu hudharau kurudiwa na babaye;

Bali yeye aangaliaye maonyo hupata busara.

Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye;

Bali mpumbavu humdharau mamaye.

Yeye aishikaye sheria ni mwana mwenye hekima;

Bali aliye rafiki wa walafi humwaibisha babaye.

Maonyo juu ya kushirikiana na waovu

Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako,

Wala usiiache sheria ya mama yako,

Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako,

Na mikufu shingoni mwako.

Basi, wanangu, nisikilizeni sasa;

Maana heri hao wazishikao amri zangu.

Sikieni mafundisho, mpate hekima,

Wala msiikatae.

Obediência e promessa

Filhos, obedecei a vossos pais no Senhor. Honra a teu pai e tua mãe para que viva muito tempo sobre a terra.

Watoto na wazazi

Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki. Waheshimu baba yako na mama yako; hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi, Upate heri na kuishi siku nyingi katika dunia.

Nanyi, akina baba, msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maagizo ya Bwana.

Nanyi, akina baba, msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maagizo ya Bwana.

Hivyo mwigeni Mungu, kama watoto wanaopendwa;

Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana.

Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.

Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako; nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyasema uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.

nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyasema uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.

Basi, zishike sheria zake, na amri zake, ninazokuamuru leo, upate kufanikiwa, wewe na watoto wako baada yako, na siku zako ziwe nyingi katika nchi ile akupayo BWANA, Mungu wako, milele.

Maneno haya ninayokuagiza yote yatunze na kuyasikiza, ili upate kufanikiwa na watoto wako baada yako milele, hapo unapoyafanya yaliyo mema na kuelekea machoni pa BWANA, Mungu wako.

akawaambia, Yawekeni mioyoni mwenu maneno yote ambayo nashuhudia kwenu hivi leo; nayo waamuruni watoto wenu, wayatunze na kuyafanya maneno yote ya torati hii. Kwa maana si jambo lisilofaa kwenu; maana, ni maisha yenu, na kwa jambo hili mtazifanya siku zenu kuwa nyingi juu ya nchi mwivukiayo Yordani kuimiliki.

Crianças e o reino

Deixai vir a mim as crianças. Jesus honrou as crianças como modelo de fé e humildade para todo o seu povo.

Lakini Yesu akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu; wala msiwazuie; kwa maana walio mfano wa hao, ufalme wa mbinguni ni wao.

Lakini Yesu akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu; wala msiwazuie; kwa maana walio mfano wa hao, ufalme wa mbinguni ni wao.

Ukuu wa kweli

Saa ile wanafunzi wakamwendea Yesu wakisema,Ni nani basi aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni? Akaita mtoto mmoja, akamweka katikati yao, akasema, Amin, nawaambia, Msipoongoka na kuwa kama watoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.

Majaribu ya dhambi

Basi, yeyote ajinyenyekezaye mwenyewe kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni.

akasema, Amin, nawaambia, Msipoongoka na kuwa kama watoto, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.

Majaribu ya dhambi

Basi, yeyote ajinyenyekezaye mwenyewe kama mtoto huyu, huyo ndiye aliye mkuu katika ufalme wa mbinguni. Na yeyote atakayempokea mtoto mmoja mfano wa huyu kwa jina langu, anipokea mimi;

Mfano wa kondoo aliyepotea

Angalieni msidharau mmojawapo wa wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [

Yesu amshukuru Baba yake

Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.

Heri wapatanishi;

Maana hao wataitwa wana wa Mungu.

Yesu awabariki watoto wadogo

Basi wakamletea watoto wadogo ili awaguse; wanafunzi wake wakawakemea. Ila Yesu alipoona alichukizwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni wao.

Akatwaa kitoto, akamweka katikati yao, akamkumbatia, akawaambia, Mtu akimpokea mtoto mmoja wa namna hii kwa jina langu, anipokea mimi; na mtu akinipokea mimi, humpokea, si mimi, bali yeye aliyenituma.

Naye Yesu akazidi kuendelea katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.

Basi walipokwisha kula, Yesu akamwambia Simoni Petro, Je! Simoni wa Yohana, wewe wanipenda kuliko hawa? Akamwambia, Naam, Bwana, wewe wajua kuwa nakupenda. Akamwambia, Lisha wana-kondoo wangu.

Identidade e crescimento

Somos filhos de Deus pelo Espírito de adoção. Crescer em Cristo é amadurecer em fé, obediência e amor ao próximo.

Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.

Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba.

Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu;

Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa Mungu.

Kwa kuwa ninyi nyote mmekuwa wana wa Mungu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu. Maana ninyi nyote mliobatizwa katika Kristo mmemvaa Kristo.

Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.

Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini tunajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo. Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.

Nawaandikia ninyi, watoto wadogo, kwa sababu mmesamehewa dhambi zenu, kwa ajili ya jina lake.

Watoto wadogo, jilindeni nafsi zenu kutoka kwa sanamu.

mwenye kuisimamia nyumba yake vema, ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu;

Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.

tena mmeyasahau yale maonyo, yasemayo nanyi kama kusema na wana,

Mwanangu, usiyadharau maonyo ya Bwana,

Wala usife moyo ukiadhibiwa naye;

Maana yeye ambaye Bwana ampenda, humuonya

Naye humpiga kila mwana amkubaliye.

Ni kwa ajili ya kuonywa mnastahimili; Mungu awatendea kama wana; maana ni mwana yupi asiyeonywa na babaye? Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali. Na pamoja na hayo tulikuwa na baba zetu wa mwili walioturudi, nasi tukawaheshimu; basi si ni afadhali zaidi kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi?

Kila adhabu wakati wake haionekani kuwa kitu cha furaha, bali cha huzuni; lakini baadaye huwaletea wao waliozoeshwa nayo matunda ya haki yenye amani.

Wakamwambia, Mwamini Bwana Yesu, nawe utaokoka pamoja na nyumba yako.

Lakini zikimbie tamaa za ujanani; ukafuate haki, na imani, na upendo, na amani, pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.

Na mambo yale uliyoyasikia kwangu mbele ya mashahidi wengi, hayo uwakabidhi watu waaminifu watakaofaa kuwafundisha wengine vile vile.

Transmitir a fé

Contaremos à geração vindoura os louvores do Senhor. O legado de fé é o maior presente que damos aos nossos filhos.

Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.

Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.

Aliye hai, naam, aliye hai, ndiye atakayekusifu, kama mimi leo;

Baba atawajulisha watoto uaminifu wako.

Je! Mwanamke aweza kumsahau mtoto wake anyonyaye, hata asimhurumie mwana wa tumbo lake? Naam, hawa waweza kusahau, lakini mimi sitakusahau wewe. Tazama, nimekuchora katika vitanga vya mikono yangu; kuta zako ziko mbele zangu daima.

Baada ya kuona haya nilisimama nikawaambia wakuu, maofisa, na watu wengine waliobaki, Msiwaogope; mkumbukeni Bwana, aliye mkuu mwenye kuogofya, mkawapiganie ndugu zenu, wana wenu, binti zenu, wake zenu, na nyumba zenu.

Mungu amtokea Samweli na kumfanya nabii

Basi, mtoto Samweli akamtumikia BWANA mbele ya Eli. Na neno la BWANA lilikuwa adimu siku zile; hapakuwa na mafunuo dhahiri.

Sina furaha iliyo kuu kuliko hii, kusikia ya kwamba watoto wangu wanakwenda katika kweli.

Sina furaha iliyo kuu kuliko hii, kusikia ya kwamba watoto wangu wanakwenda katika kweli.

Hayo hatutawaficha wana wao,

Huku tukiwaambia kizazi kingine,

Sifa za BWANA, na nguvu zake,

Na mambo yake ya ajabu aliyoyafanya.

Maana alikaza ushuhuda katika Yakobo,

Na sheria aliiweka katika Israeli.

Aliyowaamuru baba zetu

Wawajulishe wana wao,

Ili kizazi kingine wawe na habari,

Ndio hao wana watakaozaliwa.

Wasimame na kuwaambia wana wao.

Wamwekee Mungu tumaini lao.

Wala wasiyasahau matendo ya Mungu,

Bali wazishike amri zake.

Seja o primeiro
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-