Publicidade

Dependência

Por Bíblia Online

A dependência de Deus é o caminho da verdadeira liberdade. Sem Cristo, nada podemos fazer. Mas em Deus encontramos sustento, direção e força para todo desafio.

Sem Ele nada podemos

Sem mim nada podeis fazer. O cristão que se desconecta da videira seca — mas o que permanece dá muito fruto.

"Mimi ni mzabibu, ninyi ni matawi. Akaaye ndani yangu, nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya jambo lolote.

Sala ya matumaini

Ee Mungu, uniweke salama,

kwa maana kwako nimekimbilia.

Nimemweka Mwenyezi Mungu mbele yangu daima.

Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume,

sitatikisika.

Bila Mwenyezi Mungu, kazi ya mwanadamu haifai

Mwenyezi Mungu asipoijenga nyumba,

wajengao hufanya kazi bure.

Mwenyezi Mungu asipoulinda mji,

walinzi wakesha bure.

Sio kwa upanga wao waliipata nchi,

wala si mkono wao uliwapatia ushindi;

ilikuwa ni kitanga cha mkono wako wa kuume,

na nuru ya uso wako,

kwa kuwa uliwapenda.

Mwenyezi Mungu atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa kutulia tu."

Depender do Senhor

Confia no Senhor de todo o coração e não te estribes no teu próprio entendimento. Em todos os caminhos o reconhece.

Mtumaini Mwenyezi Mungu kwa moyo wako wote

wala usizitegemee akili zako mwenyewe;

katika njia zako zote mkiri yeye,

naye atayanyoosha mapito yako.

Moyo wa mtu huifikiri njia yake,

bali Mwenyezi Mungu huelekeza hatua zake.

Kuna mipango mingi ndani ya moyo wa mtu,

lakini kusudi la Mwenyezi Mungu ndilo litakalosimama.

Baraka ya Mwenyezi Mungu hutajirisha,

wala haichanganyi na huzuni.

Mwili na moyo wangu vyaweza kushindwa,

bali Mungu ni nguvu ya moyo wangu

na fungu langu milele.

Ee Bwana Mwenyezi Mungu,

Mungu wa majeshi ya mbinguni, uturejeshe;

utuangazie uso wako,

ili tuweze kuokolewa.

Mwenyezi Mungu mlinzi wetu

Nayainua macho yangu natazama milima:

msaada wangu utatoka wapi?

Msaada wangu hutoka kwa Mwenyezi Mungu,

Muumba wa mbingu na dunia.

Hatauacha mguu wako uteleze,

yeye akulindaye hatasinzia,

Niliposema, "Mguu wangu unateleza,"

Ee Mwenyezi Mungu, upendo wako ulinishikilia.

Wakati wa maumivu yangu makuu, nilimlilia Mwenyezi Mungu,

naye akanijibu kwa kuniweka huru.

Mwenyezi Mungu mchungaji wetu

Mwenyezi Mungu ndiye mchungaji wangu,

sitapungukiwa na kitu.

Hunilaza katika malisho

ya majani mabichi,

kando ya maji matulivu huniongoza,

Contentamento e confiança

Aprendi a viver contente em toda situação. A dependência de Deus nos livra da ansiedade e nos firma na paz.

Sisemi hivyo kwa vile nina mahitaji, la! Kwa maana nimejifunza kuridhika katika hali yoyote.

Kwa maana Mimi ndimi Mwenyezi Mungu, Mungu wako,

nikushikaye mkono wako wa kuume

na kukuambia, Usiwe na hofu,

nitakusaidia.

Huwapa nguvu waliolegea

na huongeza nguvu za wadhaifu.

Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu.

Kama vile katika mwili mmoja tulivyo na viungo vingi, navyo viungo vyote havina kazi moja, vivyo hivyo na sisi tulio wengi, tu mwili mmoja katika Al-Masihi, nasi kila mmoja ni kiungo cha mwenzake.

Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu.

Kwa hiyo msiwe na wasiwasi kuhusu kesho, kwa sababu kesho itajitaabikia yenyewe. Kila siku ina masumbufu yake ya kutosha.

"Lakini mimi ni nani, nao watu wangu ni nani, hata tuweze kukutolea kwa ukarimu namna hii? Vitu vyote vyatoka kwako, nasi tumekutolea tu vile vinavyotoka mkononi mwako.

Seja o primeiro
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-