Publicidade

Dependência

Por Bíblia Online

A dependência de Deus é o caminho da verdadeira liberdade. Sem Cristo, nada podemos fazer. Mas em Deus encontramos sustento, direção e força para todo desafio.

Sem Ele nada podemos

Sem mim nada podeis fazer. O cristão que se desconecta da videira seca — mas o que permanece dá muito fruto.

Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi, akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo huzaa sana; maana pasipo mimi ninyi hamuwezi kufanya neno lolote.

Wimbo wa imani na usalama kwa Mungu

Mungu, unihifadhi mimi,

Kwa maana nakukimbilia Wewe.

Nimemweka BWANA mbele yangu daima,

Kwa kuwa yuko kuliani mwangu, sitaondoshwa.

Baraka za Mungu nyumbani

BWANA asipoijenga nyumba

Waijengao wanafanya kazi bure.

BWANA asipoulinda mji

Yeye aulindaye anakesha bure.

Maana hawakuitwaa nchi kwa upanga wao,

Wala hawakupata ushindi kwa mkono wao;

Bali mkono wako wa kulia, naam, mkono wako,

Na nuru ya uso wako, kwa kuwa ulipendezwa nao.

BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.

Depender do Senhor

Confia no Senhor de todo o coração e não te estribes no teu próprio entendimento. Em todos os caminhos o reconhece.

Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,

Wala usizitegemee akili zako mwenyewe;

Katika njia zako zote mkiri yeye,

Naye atayanyosha mapito yako.

Moyo wa mtu huifikiri njia yake;

Bali BWANA huziongoza hatua zake.

Mna hila nyingi moyoni mwa mtu;

Lakini shauri la BWANA ndilo litakalosimama.

Baraka ya BWANA hutajirisha,

Wala hachanganyi huzuni nayo.

Mwili wangu na moyo wangu hupunguka,

Bali Mungu ni mwamba wa moyo wangu

Na sehemu yangu milele.

Ee BWANA, Mungu wa majeshi, uturudishe,

Uangaze uso wako nasi tutaokoka.

Hakikisho la ulinzi wa Mungu

Nayainua macho yangu niitazame milima,

Msaada wangu utatoka wapi?

Msaada wangu hutoka kwa BWANA,

Aliyezifanya mbingu na nchi.

Hatauacha mguu wako usogezwe;

Akulindaye hatasinzia;

Niliposema, Mguu wangu unateleza;

Ee BWANA, fadhili zako zilinitegemeza.

Katika shida yangu nilimwita BWANA;

BWANA akanijibu akaniweka panapo nafasi.

Mchungaji mwema

BWANA ndiye mchungaji wangu,

Sitapungukiwa na kitu.

Katika malisho ya majani mabichi hunilaza,

Kando ya maji ya utulivu huniongoza.

Contentamento e confiança

Aprendi a viver contente em toda situação. A dependência de Deus nos livra da ansiedade e nos firma na paz.

Si kwamba nasema haya kwa kuwa nina mahitaji; maana nimejifunza kuwa radhi na hali yoyote niliyo nayo.

Kwa maana mimi, BWANA, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kulia, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.

Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.

Mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi. Msinuie yaliyo makuu, lakini mkubali kushughulishwa na mambo manyonge. Msiwe watu wa kujivunia akili.

Kwa kuwa kama vile katika mwili mmoja tuna viungo vingi, wala viungo vyote havitendi kazi moja; Vivyo hivyo na sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo, kila mmoja kwa mwenzake.

Wale waufuatao mwili hawawezi kumpendeza Mungu.

Basi msisumbukie ya kesho; kwa kuwa kesho itajisumbukia yenyewe. Maovu ya siku yanaitosha siku hiyo.

Lakini mimi ni nani, na watu wangu ni nani, hata tuweze kutoa kwa hiari hivi? Kwani vitu vyote vyatoka kwako na katika vitu vyako mwenyewe tumekutolea.

Seja o primeiro
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-