Pular para o conteúdo
Publicidade

Educação das crianças

Por Bíblia Online

A educação cristã dos filhos é responsabilidade sagrada dos pais. A Bíblia ensina a instruir, disciplinar e modelar a fé desde a tenra idade, formando gerações que temem ao Senhor.

Instruir nos caminhos de Deus

Instrui a criança no caminho em que deve andar. A educação bíblica molda o caráter e estabelece fundamentos para a vida.

Mlee mtoto katika njia impasayo,

Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.

Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto;

Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.

Ushauri wa mzazi

Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu,

Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.

Maonyo juu ya kushirikiana na waovu

Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako,

Wala usiiache sheria ya mama yako,

Kwa maana hayo yatakuwa kilemba cha neema kichwani pako,

Na mikufu shingoni mwako.

Hufumbua kinywa chake kwa hekima,

Na sheria ya wema iko katika ulimi wake.

Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako; nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyasema uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.

Nawe mpende BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote. Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako; nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyasema uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.

nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyasema uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.

siku ile uliyosimama mbele za BWANA wako huko Horebu, BWANA aliponiambia, Nikusanyieni watu hawa, nami nitawafanya wasikilize maneno yangu, ili wajifunze kunicha mimi siku zote watakazoishi duniani, wakapate na kuwafundisha watoto wao.

Kwa hiyo yawekeni maneno yangu mioyoni mwenu na rohoni mwenu; yafungeni yawe dalili juu ya mikono yenu, nayo yatakuwa kama utepe katikati ya macho yenu. Nayo wafunzeni watoto wenu kwa kuyazungumza uishipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo. Tena yaandike juu ya miimo ya nyumba yako, na juu ya malango yako; ili siku zenu zifanywe nyingi, na za vijana vyenu nao, juu ya nchi BWANA aliyowaapia baba zenu kuwa atawapa, kama zilivyo siku za mbingu juu ya nchi.

Disciplina e amor

A vara e a repreensão dão sabedoria. A disciplina é expressão de amor que protege e forma o caráter dos filhos.

Fimbo na maonyo hutia hekima;

Bali mwana aliyeachiliwa humwaibisha mamaye.

Mrudi mwanao naye atakustarehesha;

Naam, atakufurahisha nafsi yako.

Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe;

Bali yeye ampendaye humrudi mapema.

Usimnyime mtoto wako mapigo;

Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.

Utampiga kwa fimbo,

Na kumwokoa nafsi yake na Kuzimu.

Mrudi mwanao, kwa maana liko tumaini;

Wala usiikaze nafsi yako kwa kuangamia kwake.

Ni kwa ajili ya kuonywa mnastahimili; Mungu awatendea kama wana; maana ni mwana yupi asiyeonywa na babaye?

Ninyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote; maana jambo hili lapendeza katika Bwana. Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.

Nanyi, akina baba, msiwachokoze watoto wenu; bali waleeni katika adabu na maagizo ya Bwana.

Ensinar pelas Escrituras

Desde a infância conheces as sagradas letras. As Escrituras formam, equipam e capacitam para toda boa obra.

na ya kuwa tangu utotoni umeyajua Maandiko Matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.

Bali wewe ukae katika mambo yale uliyofundishwa na kuhakikishwa, kwa maana unajua ni akina nani ambao ulijifunza kwao; na ya kuwa tangu utotoni umeyajua Maandiko Matakatifu, ambayo yaweza kukuhekimisha hata upate wokovu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.

Wema wa Mungu na Israeli kukosa shukrani

Enyi watu wangu, sikilizeni sheria yangu,

Tegeni masikio kwa maneno ya kinywa changu.

Nitafumbua kinywa changu kwa mithali,

Niyatamke mafumbo ya kale.

Mambo tuliyoyasikia na kuyafahamu,

Ambayo baba zetu walituambia.

Hayo hatutawaficha wana wao,

Huku tukiwaambia kizazi kingine,

Sifa za BWANA, na nguvu zake,

Na mambo yake ya ajabu aliyoyafanya.

Mambo tuliyoyasikia na kuyafahamu,

Ambayo baba zetu walituambia.

Hayo hatutawaficha wana wao,

Huku tukiwaambia kizazi kingine,

Sifa za BWANA, na nguvu zake,

Na mambo yake ya ajabu aliyoyafanya.

Hayo hatutawaficha wana wao,

Huku tukiwaambia kizazi kingine,

Sifa za BWANA, na nguvu zake,

Na mambo yake ya ajabu aliyoyafanya.

Maana alikaza ushuhuda katika Yakobo,

Na sheria aliiweka katika Israeli.

Aliyowaamuru baba zetu

Wawajulishe wana wao,

Ili kizazi kingine wawe na habari,

Ndio hao wana watakaozaliwa.

Wasimame na kuwaambia wana wao.

Wamwekee Mungu tumaini lao.

Wala wasiyasahau matendo ya Mungu,

Bali wazishike amri zake.

Onjeni muone ya kuwa BWANA yu mwema;

Heri mtu yule anayemtumainia.

Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake,

Maana, wamchao hawapungukiwi kitu.

Wanasimba hutindikiwa, na kuona njaa;

Bali wamtafutao BWANA hawapungukiwi kitu chochote kilicho chema.

Njoni, enyi wana, mnisikilize,

Nami nitawafundisha kumcha BWANA.

Njoni, enyi wana, mnisikilize,

Nami nitawafundisha kumcha BWANA.

Tazama, watoto ni urithi kutoka kwa BWANA,

Uzao wa tumbo ni thawabu.

Bênção e promessa

Os filhos são herança do Senhor. A educação cristã é investimento eterno que produz frutos em todas as gerações.

Lakini Yesu akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu; wala msiwazuie; kwa maana walio mfano wa hao, ufalme wa mbinguni ni wao.

Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na BWANA, Mungu wako.

Kwa maana nitamimina maji juu yake aliye na kiu, na vijito vya maji juu ya mahali pakavu; nitamwaga roho yangu juu ya wazao wako, na baraka yangu juu yao utakaowazaa;

Aliye hai, naam, aliye hai, ndiye atakayekusifu, kama mimi leo;

Baba atawajulisha watoto uaminifu wako.

Na watoto wako wote watafundishwa na BWANA; na amani ya watoto wako itakuwa nyingi.

Seja o primeiro