Publicidade

Esperar em Deus

Por Bíblia Online

Esperar em Deus não é passividade — é confiança ativa no Senhor que age no tempo perfeito. Os que esperam nele não serão confundidos nem envergonhados.

Esperança em Deus

Descanse somente em Deus, ó minha alma, pois dele vem a minha esperança. Ele é rocha e salvação — não serei abalado.

Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,

tumaini langu latoka kwake.

Tulia mbele za Mwenyezi Mungu

na umngojee kwa uvumilivu;

usisumbuke watu wanapofanikiwa katika njia zao,

wanapotekeleza mipango yao miovu.

Kwa maana waovu watakatiliwa mbali,

bali wale wanaomtumaini Mwenyezi Mungu watairithi nchi.

Mngojee Mwenyezi Mungu,

na uishike njia yake.

Naye atakutukuza uirithi nchi,

waovu watakapokatiliwa mbali,

utaliona hilo.

Wimbo wa sifa

Nilimngoja Mwenyezi Mungu kwa saburi,

naye akanijia na kusikia kilio changu.

Namngojea Mwenyezi Mungu, nafsi yangu inangojea,

katika neno lake naweka tumaini langu.

Nafsi yangu inamngojea Bwana

kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi,

naam, kuliko walinzi

waingojeavyo asubuhi.

Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea

atakayeaibishwa,

bali wataaibishwa

wafanyao hila bila sababu.

Ee Mwenyezi Mungu, ninakungojea wewe,

Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wangu, utajibu.

Mngojee Mwenyezi Mungu;

uwe hodari na mwenye moyo mkuu,

na umngojee Mwenyezi Mungu.

Confiança na espera

O Senhor é bom para os que esperam nele. O olho não viu o que Deus preparou para os que o amam e o aguardam.

bali wale wamtumainio Mwenyezi Mungu

atafanya upya nguvu zao.

Watapaa juu kwa mabawa kama tai;

watapiga mbio wala hawatachoka,

watatembea kwa miguu wala hawatazimia.

Ee Mwenyezi Mungu, uturehemu,

tunakutamani.

Uwe nguvu yetu kila asubuhi

na wokovu wetu wakati wa taabu.

Tangu nyakati za zamani hakuna yeyote aliyesikia,

hakuna sikio lililotambua,

hakuna jicho lililomwona Mungu mwingine ila wewe,

anayetenda mambo kwa ajili ya wale wamngojeao.

Usiseme, "Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!"

Mngojee Mwenyezi Mungu, naye atakuokoa.

Uvumilivu katika mateso

Kwa hiyo, ndugu zangu, vumilieni hadi kuja kwake Bwana Isa. Tazameni jinsi mkulima angojavyo ardhi itoe mavuno yake yaliyo ya thamani, na jinsi anavyovumilia kwa ajili ya kupata mvua ya kwanza na ya mwisho. Ninyi nanyi vumilieni, tena simameni imara, kwa sababu kuja kwa Bwana Isa kumekaribia.

Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia rehema ya Bwana wetu Isa Al-Masihi, inayowapeleka katika uzima wa milele.

Lakini uenyeji wetu uko mbinguni. Nasi tunamngoja kwa shauku Mwokozi kutoka huko, yaani Bwana Isa Al-Masihi,

Seja o primeiro
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-