Pular para o conteúdo
Publicidade

Mentira

Por Bíblia Online

A mentira é condenada pela Bíblia como pecado grave. Deus é verdade, e quem mente se alinha com o pai da mentira. O cristão é chamado a falar a verdade em amor.

Deus odeia a mentira

Os lábios mentirosos são abominação para o Senhor. A Bíblia adverte que todo mentiroso terá parte no lago de fogo.

Midomo ya uongo ni chukizo kwa BWANA;

Bali watendao uaminifu ndio furaha yake.

Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.

Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA;

Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake.

Macho ya kiburi, ulimi wa uongo,

Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia;

Moyo uwazao mawazo mabaya;

Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu;

Shahidi wa uongo asemaye uongo;

Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.

Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake;

Falar a verdade

Despojai-vos da mentira e falai a verdade cada um com o próximo. Cristo é a verdade, e nos chama a ser testemunhas fiéis.

Amri za maisha mapya

Basi uvueni uongo, mkaseme kweli kila mtu na jirani yake; kwa maana tu viungo, kila mmoja kiungo cha wenzake.

Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Ninyi ni wa baba yenu, Ibilisi, na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzitenda. Yeye alikuwa mwuaji tangu mwanzo; wala hakusimama katika kweli, kwa kuwa hamna hiyo kweli ndani yake. Asemapo uongo, husema yaliyo yake mwenyewe; kwa sababu yeye ni mwongo, na baba wa uongo.

Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa;

Naye asemaye uongo ataangamia.

Hatakaa ndani ya nyumba yangu

Mtu atendaye hila.

Asemaye uongo hatathibitika

Mbele ya macho yangu.

Consequências da falsidade

A mentira destrói confiança e relacionamentos. As Escrituras alertam sobre os frutos amargos do engano e da falsidade.

Kupata akiba ya mali kwa ulimi wa uongo

Ni moshi upeperushwao; ni kutafuta mauti.

Mdomo wa kweli utathibitishwa milele;

Bali ulimi wa uongo ni wa kitambo tu.

Ulimi unenao uongo huwachukia wale uliowajeruhi;

Na kinywa cha kujipendekeza hutenda uharibifu.

Utawaharibu wasemao uongo;

BWANA humchukia mwuaji na mwenye hila

Msiibe, wala msidanganye, wala msiambiane uongo.

Seja o primeiro