Planejamento
O planejamento é sábio, mas deve sempre se submeter à vontade de Deus. A Bíblia ensina que devemos planejar com prudência, mas confiar que Deus dirige nossos passos.
Planejar com sabedoria
Contar nossos dias nos ensina a ter coração sábio. O planejamento prudente é elogiado na Escritura como expressão de bom senso.
Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri,
ili tujipatie moyo wa hekima.
"Ni nani miongoni mwenu ambaye kama anataka kujenga nyumba, hakai kwanza chini na kufanya makisio ya gharama aone kama ana fedha za kutosha kukamilisha?
Mipango hushindwa kufanikiwa kwa ajili ya kukosa ushauri,
bali kukiwa na washauri wengi hufanikiwa.
Mkabidhi Mwenyezi Mungu lolote ufanyalo,
nayo mipango yako itafanikiwa.
Msemo 8
Usijitaabishe ili kuupata utajiri,
uwe na hekima kuonesha kujizuia.
Deus dirige os passos
O coração do homem planeja, mas a resposta certa vem do Senhor. Seus caminhos são mais altos que os nossos, e seus planos prevalecem.
Moyo wa mtu huifikiri njia yake,
bali Mwenyezi Mungu huelekeza hatua zake.
Kuna mipango mingi ndani ya moyo wa mtu,
lakini kusudi la Mwenyezi Mungu ndilo litakalosimama.
"Kwa kuwa mawazo yangu si mawazo yenu,
wala njia zenu si njia zangu,"
asema Mwenyezi Mungu.
"Kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,
ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu
na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
Haya yote pia hutoka kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni,
mwenye mashauri ya ajabu, na anayepita wote kwa hekima.
Confiança no plano de Deus
Os planos do Senhor são de paz e esperança. Ele revela seus segredos aos seus servos e guia com fidelidade cada caminho confiado a Ele.
Kwa maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili yenu," asema Mwenyezi Mungu, "ni mipango ya kuwafanikisha na wala si ya kuwadhuru, ni mipango ya kuwapa tumaini katika siku zijazo.
Hakika Bwana Mungu Mwenyezi hatafanya neno lolote
bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
Na akujalie haja ya moyo wako,
na aifanikishe mipango yako yote.
Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma,
kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako.
Nioneshe njia nitakayoiendea,
kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.
Kila jambo lina wakati wake
Kuna wakati kwa ajili ya kila jambo,
nayo majira kwa kila tendo chini ya mbingu:
Lakini mambo haya Mungu ametufunulia kwa Roho wake.
Roho huchunguza kila kitu, hata mambo ya ndani sana ya Mungu.
Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri
wala kuchagua njia yake yoyote,
kwa kuwa Mwenyezi Mungu humchukia mtu mpotovu,
lakini siri yake iko kwa mwenye haki.