Pular para o conteúdo
Publicidade

Planejamento

Por Bíblia Online

O planejamento é sábio, mas deve sempre se submeter à vontade de Deus. A Bíblia ensina que devemos planejar com prudência, mas confiar que Deus dirige nossos passos.

Planejar com sabedoria

Contar nossos dias nos ensina a ter coração sábio. O planejamento prudente é elogiado na Escritura como expressão de bom senso.

Basi, utufundishe kuzihesabu siku zetu,

Tujipatie moyo wa hekima.

Maana ni nani katika ninyi, kama akitaka kujenga mnara, haketi kwanza na kuhesabu gharama, kwamba anavyo vya kuumalizia?

Pasipo ushauri mipango vuhunjika;

Bali kwa wingi wa washauri huthibitika.

Mkabidhi BWANA kazi zako,

Na mawazo yako yatakuwa kweli.

Usijitaabishe ili kupata utajiri;

Acha kuzitegemea akili zako mwenyewe.

Deus dirige os passos

O coração do homem planeja, mas a resposta certa vem do Senhor. Seus caminhos são mais altos que os nossos, e seus planos prevalecem.

Moyo wa mtu huifikiri njia yake;

Bali BWANA huziongoza hatua zake.

Mna hila nyingi moyoni mwa mtu;

Lakini shauri la BWANA ndilo litakalosimama.

Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.

Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, ndivyo njia zangu zilivyo juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

Hayo nayo yatoka kwa BWANA wa majeshi, mwenye shauri la ajabu, apitaye wote kwa hekima yake.

Confiança no plano de Deus

Os planos do Senhor são de paz e esperança. Ele revela seus segredos aos seus servos e guia com fidelidade cada caminho confiado a Ele.

Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za baadaye.

Hakika Bwana MUNGU hatafanya neno lolote, bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.

Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako,

Na kukutimizia mipango yako yote.

Uniwezeshe kusikia fadhili zako asubuhi,

Kwa maana nimekutumaini Wewe.

Unifundishe njia nitakayoiendea,

Kwa maana ninakuinulia nafsi yangu.

Kila jambo na wakati wake

Kwa kila jambo kuna majira yake,

Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.

Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu.

Usimhusudu mtu mwenye ujeuri,

Wala usiichague mojawapo ya njia zake.

Maana mtu mjeuri ni chukizo kwa BWANA,

Bali siri yake ni pamoja na wanyofu.

Seja o primeiro