Poder de Deus
O poder de Deus é incomparável e infinito. Ele criou o universo pela palavra, sustenta todas as coisas e manifesta sua onipotência em cada geração.
A onipotência do Criador
Deus fez os céus e a terra pelo seu grande poder. Nada é impossível para Ele, e sua força está além de toda compreensão humana.
Ameiumba dunia kwa uweza wake,
Ameuthibitisha ulimwengu kwa hekima yake,
Na kwa ufahamu wake amezitandika mbingu.
Yesu akawakazia macho, akawaambia, Kwa wanadamu hilo haliwezekani; bali kwa Mungu yote yawezekana.
Tazama, hivi ni viunga tu vya njia zake;
Na jinsi yalivyo madogo manong’ono tusikiayo katika habari zake!
Lakini ngurumo za uweza wake ni nani awezaye kuzielewa?
Yeye ni mwenye hekima moyoni, na mwenye uwezo katika nguvu;
Ni nani aliyejifanya kuwa mgumu juu yake, naye akafanikiwa?
Poder sobre tudo
O Senhor reina sobre as nações, sustenta os oprimidos e manifesta seu poder tanto no julgamento quanto na redenção.
Atawalaye kwa uweza wake milele;
Ambaye macho yake yanaangalia mataifa;
Hebu wanaoasi wasijitukuze nafsi zao.
Kuugua kwake aliyefungwa
Na kuingie mbele zako.
Kwa kadiri ya uweza wa mkono wako
Uwahifadhi waliohukumiwa kufa.
Mara moja amenena Mungu;
Mara mbili nimeyasikia haya,
Ya kuwa nguvu zina Mungu,
Kwa mkono hodari na mkono ulionyoshwa;
Kwa maana fadhili zake ni za milele.
Poder para o seu povo
Deus fortalece os fracos e ressuscita os mortos. Seu poder opera em nós para que experimentemos vitória e transformação.
Naye Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua sisi kwa uweza wake.
Maana, alisulubiwa katika udhaifu, lakini anaishi kwa nguvu za Mungu. Maana sisi nasi tu dhaifu katika yeye; lakini tutaishi pamoja naye kwa uweza wa Mungu ulio kwenu.
katika neno la kweli, katika nguvu ya Mungu; kwa silaha za haki za mkono wa kulia na za mkono wa kushoto;
Silaha zote za Mungu
Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.
Mtumainini BWANA siku zote
Maana BWANA YEHOVA ni mwamba wa milele.
Mimi naiumba nuru, na kulihuluku giza; mimi nafanya suluhu, na kuhuluku ubaya; Mimi ni BWANA, niyatendaye hayo yote.
BWANA, Mungu wako, yuko katikati yako shujaa awezaye kuokoa;
Atakushangilia kwa furaha kuu,
Atakutuliza katika upendo wake,
Atakufurahia kwa kuimba.
Lakini, ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajia.