Reconhecer
Reconhecer a Jesus como Senhor é o fundamento da fé cristã. A confissão de fé é o ato de declarar publicamente quem Jesus é e a quem pertencemos.
Confissão e salvação
Se confessarmos com a boca que Jesus é Senhor e crermos no coração que Deus o ressuscitou, seremos salvos.
Kwa sababu, ukikiri kwa kinywa chako kwamba "Isa ni Bwana," na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka.
Kwa maana kwa moyo mtu huamini na hivyo kuhesabiwa haki, tena kwa kinywa mtu hukiri na hivyo kupata wokovu.
Kwa kuwa imeandikwa:
" ‘Kama vile niishivyo,’ asema Mwenyezi Mungu,
‘kila goti litapigwa mbele zangu,
na kila ulimi utakiri kwa Mungu.’ "
na kila ulimi ukiri kwamba
Isa Al-Masihi ni Bwana,
kwa utukufu wa Mungu Baba Mwenyezi.
Reconhecer a fé
Reconhecer a Jesus é um ato de coragem e compromisso. Quem o confessar diante dos homens, Ele confessará diante do Pai.
Kila akiriye kwamba Isa ni Mwana wa Mungu, basi Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya Mungu.
Yeye ashindaye atavikwa vazi jeupe kama wao. Sitafuta jina lake kutoka kitabu cha uzima, bali nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu na mbele za malaika wake.
Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi.
Tushike kwa uthabiti lile tumaini la ukiri wetu bila kuyumbayumba, kwa maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu.
Reconhecer o pecado e a bondade de Deus
Reconhecer nossos pecados é o caminho para o perdão. E reconhecer que o Senhor é nossa porção nos dá esperança inabalável.
Kisha nikakiri dhambi yangu kwako,
wala sikuficha uovu wangu.
Nilisema, "Nitaungama
makosa yangu kwa Mwenyezi Mungu."
Ndipo uliponisamehe
hatia ya dhambi yangu.
Nimeiambia nafsi yangu, "Mwenyezi Mungu ni fungu langu,
kwa hiyo nitamngojea."
Ni nani yeye, huyu Mfalme wa utukufu?
Ni Mwenyezi Mungu,
Mungu wa majeshi ya mbinguni;
yeye ndiye Mfalme wa utukufu.