Publicidade

Repouso e férias

Por Bíblia Online

Deus criou o descanso como parte da vida. O sábado, o repouso e até as férias refletem a confiança de que Deus sustenta todas as coisas — mesmo quando paramos.

O descanso como ordenança

Deus descansou no sétimo dia e nos convidou a fazer o mesmo. O descanso sabático é um presente de Deus para restauração do corpo e da alma.

Basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu; kwa kuwa kila mmoja aingiaye katika raha ya Mungu pia hupumzika kutoka kazi zake mwenyewe, kama vile Mungu alivyopumzika kutoka kazi zake.

"Ukitunza miguu yako isivunje Sabato,

na kutokufanya kama vile upendavyo katika siku yangu takatifu,

ukiita Sabato siku ya furaha

na siku takatifu ya Mwenyezi Mungu ya kuheshimiwa,

kama utaiheshimu kwa kutoenenda

katika njia zako mwenyewe,

na kutokufanya yakupendezayo

au kusema maneno ya upuzi,

ndipo utakapojipatia furaha yako katika Mwenyezi Mungu,

nami nitakufanya upande juu ya miinuko ya nchi

na kusherehekea urithi wa Yakobo baba yako."

Kinywa cha Mwenyezi Mungu kimenena haya.

Basi, lolote mfanyalo, kama ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.

Sono e paz

Ditar-se em paz e dormir tranquilamente é bênção do Senhor. Quem confia nele dorme sem medo e acorda renovado.

Nitajilaza chini na kulala kwa amani,

kwa kuwa wewe peke yako, Ee Mwenyezi Mungu,

waniwezesha kukaa kwa salama.

Ninajilaza na kupata usingizi;

naamka tena, kwa maana Mwenyezi Mungu hunitegemeza.

Mnajisumbua bure kuamka mapema

na kuchelewa kulala,

mkitaabikia chakula:

kwa maana yeye huwapa usingizi wapendwa wake.

Hutaogopa vitisho vya usiku,

wala mshale urukao mchana,

unapolala, hutaogopa;

unapolala, usingizi wako utakuwa mtamu.

Usingizi wa kibarua ni mtamu,

awe amekula kidogo au kingi,

lakini wingi wa mali

humnyima tajiri usingizi.

Descanso e segurança

No repouso, encontramos segurança. Deus guarda os justos, e mesmo no silêncio da noite, sua paz nos protege e restaura.

Utakuwa salama, kwa kuwa lipo tumaini;

utatazama pande zote na kupumzika kwa salama.

Utalala, wala hakuna atakayekuogofya,

naam, wengi watajipendekeza kwako.

Wale wanaoenda kwa unyofu

huwa na amani;

hupata pumziko wanapolala mautini.

Seja o primeiro
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-