10 versículos sobre fé para fortalecer a confiança em Deus
Existem momentos de fraqueza, onde nós abalamos nossa fé. Ou nos vemos nos questionando sobre a mesma. Mas faz parte, somos humanos e é natural que desvios aconteçam, desde que lembremos que Deus está sempre de braços abertos para nos receber e acolher.
Sabendo disso, é fato que a fé é o grande alicerce da vida cristã e para te ajudar a se reconectar ou fortalecer sua confiança em Deus, preparamos neste artigo 10 versículos poderosos que fortalecerão sua confiança em nosso Senhor.
Lista de versículos:
1. Hebreus 11:1
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, na udhahiri wa mambo yasiyoonekana.
2. Marcos 11:24
Kwa sababu hiyo nawaambia, yoyote mtakayoyaomba mkisali, aminini kwamba mmeyapokea, nayo yatakuwa yenu.
3. 2 Coríntios 5:7
Kwa maana twaenenda kwa imani wala si kwa kuona.
4. Romanos 10:17
Basi, imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la Al-Masihi.
5. Salmos 37:5
Mkabidhi Mwenyezi Mungu njia yako,
mtumaini yeye, naye atatenda hili:
6. Tiago 1:6
Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, linalopeperushwa na upepo na kutupwa huku na huko.
7. Mateus 21:22
Yoyote mtakayoyaomba mkisali na mkiamini, mtayapokea."
8. João 20:29
Isa akamwambia, "Umeamini kwa kuwa umeniona? Wamebarikiwa wale ambao hawajaona lakini wameamini."
9. Efésios 2:8
Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kupitia kwa imani, nayo haikutokana na ninyi wenyewe. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu,
10. Gálatas 2:20
Nimesulubiwa pamoja na Al-Masihi, wala si mimi tena ninayeishi, bali Al-Masihi ndiye aishiye ndani yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi kwa imani katika Mwana wa Mungu), wa kiroho, bali si wa kimwili., aliyenipenda na kujitoa kwa ajili yangu.
Compartilhe esses versículos sobre fé e ajude a fortalecer a confiança dos seus irmãos no Senhor. Que este artigo também tenha sido ponte para que você engrandeça ainda mais sua fé em Deus.
Deus abençoe!