10 versículos sobre fé para fortalecer a confiança em Deus
Existem momentos de fraqueza, onde nós abalamos nossa fé. Ou nos vemos nos questionando sobre a mesma. Mas faz parte, somos humanos e é natural que desvios aconteçam, desde que lembremos que Deus está sempre de braços abertos para nos receber e acolher.
Sabendo disso, é fato que a fé é o grande alicerce da vida cristã e para te ajudar a se reconectar ou fortalecer sua confiança em Deus, preparamos neste artigo 10 versículos poderosos que fortalecerão sua confiança em nosso Senhor.
Lista de versículos:
1. Hebreus 11:1
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni kusadiki mambo yasiyoonekana.
2. Marcos 11:24
Kwa sababu hiyo nawaambia, Yoyote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu.
3. 2 Coríntios 5:7
(Maana twaenenda kwa imani, si kwa kuona.)
4. Romanos 10:17
Basi imani, hutokana na kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.
5. Salmos 37:5
Umkabidhi BWANA njia yako,
Pia umtumainie, naye atakutendea.
6. Tiago 1:6
Ila na aombe kwa imani, pasipo mashaka yoyote; maana mwenye shaka ni kama wimbi la bahari linalochukuliwa na upepo, na kupeperushwa huku na huku.
7. Mateus 21:22
Na yoyote mtakayoyaomba katika sala mkiamini, mtapokea.
8. João 20:29
Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.
9. Efésios 2:8
Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu;
10. Gálatas 2:20
Nimesulubiwa pamoja na Kristo; lakini ni hai; wala si mimi tena, bali Kristo yu hai ndani yangu; na uhai nilio nao sasa katika mwili, ninao katika imani ya Mwana wa Mungu, ambaye alinipenda, akajitoa nafsi yake kwa ajili yangu.
Compartilhe esses versículos sobre fé e ajude a fortalecer a confiança dos seus irmãos no Senhor. Que este artigo também tenha sido ponte para que você engrandeça ainda mais sua fé em Deus.
Deus abençoe!