3Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
36Adama, Rama, Hazori,
43Eloni, Timna, Ekroni,
32 resultados encontrados
3Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
36Adama, Rama, Hazori,
43Eloni, Timna, Ekroni,
13Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
20Yeye anayeshuhudia mambo haya asema, "Hakika, naja upesi!"Amen. Njoo, Bwana Yesu.
21Neema ya Bwana Yesu iwe na watakatifu wote. Amen.
2Seraya, Azaria, Yeremia,
3Pashuri, Amaria, Malkiya,
27Maluki, Harimu na Baana.
1Endeleeni kupendana kama ndugu.
21awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen.
25Neema iwe nanyi nyote. Amen.
17"Alaaniwe mtu asogezaye jiwe la mpaka wa jirani yake."Kisha watu wote watasema, "Amen!"
19"Alaaniwe mtu apotoshaye haki ya mgeni, yatima au mjane."Kisha watu wote watasema, "Amen!"
23"Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mama mkwe wake."Kisha watu wote watasema, "Amen!"
7Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.
8Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.
18Ndugu zangu, neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.
5alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu,
8Hili ni neno la kuaminiwa. Nami nataka uyasisitize mambo haya, ili wale ambao wamemwamini Mungu wapate kuwa waangalifu kujitoa kwa ajili ya kutenda mema wakati wote. Mambo haya ni mazuri tena ya manufaa kwa kila mtu.
15Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale wanaotupenda katika imani.Neema iwe nanyi nyote. Amen.
1Fuateni upendo na kutaka sana karama za roho, hasa karama ya unabii.
2Kwa maana mtu yeyote anayesema kwa lugha, hasemi na wanadamu bali anasema na Mungu. Kwa kuwa hakuna mtu yeyote anayemwelewa, kwani anasema mambo ya siri kwa roho.
32Roho za manabii huwatii manabii.
8Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika Bwana.
20Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.Neema ya Bwana wetu Yesu iwe nanyi. Amen.
27Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen.
10Tazama jinsi pendo lako linavyofurahisha,dada yangu, bibi arusi wangu!Pendo lako linafurahisha aje zaidi ya divai,na harufu ya manukato yako zaidi ya kikolezo chochote!
15Wewe ni chemchemi ya bustani,kisima cha maji yatiririkayo,yakitiririka kutoka Lebanoni.Mpendwa
16Amka, upepo wa kaskazini,na uje, upepo wa kusini!Vuma juu ya bustani yangu,ili harufu yake nzuri iweze kuenea mpaka ngʼambo.Mpendwa wangu na aje bustanini mwakena kuonja matunda mazuri sana.
22Je, wale wanaopanga ubaya hawapotoki?Bali wale wanaopanga kilicho chemahupata upendo na uaminifu.
27Kumcha Bwana ni chemchemi ya uzima,ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.
30Moyo wenye amani huupa mwili uzima,bali wivu huozesha mifupa.
2Kila mmoja wetu inampasa kumpendeza jirani yake kwa mambo mema, ili kumjenga katika imani.
32ili kwa mapenzi ya Mungu niweze kuja kwenu kwa furaha, nami niburudishwe pamoja nanyi.
33Mungu wa amani na awe pamoja nanyi nyote. Amen.