Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "amor"

32 resultados encontrados

  1. Josué 19

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 3–43 de 51

    3Hasar-Shuali, Bala, Esemu,

    36Adama, Rama, Hazori,

    43Eloni, Timna, Ekroni,

  2. Apocalipse 22

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 13–21 de 21

    13Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.

    20Yeye anayeshuhudia mambo haya asema, "Hakika, naja upesi!"Amen. Njoo, Bwana Yesu.

    21Neema ya Bwana Yesu iwe na watakatifu wote. Amen.

  3. Neemias 10

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 2–27 de 39

    2Seraya, Azaria, Yeremia,

    3Pashuri, Amaria, Malkiya,

    27Maluki, Harimu na Baana.

  4. Hebreus 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 1–25 de 25

    1Endeleeni kupendana kama ndugu.

    21awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen.

    25Neema iwe nanyi nyote. Amen.

  5. Deuteronômio 27

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 17–23 de 26

    17"Alaaniwe mtu asogezaye jiwe la mpaka wa jirani yake."Kisha watu wote watasema, "Amen!"

    19"Alaaniwe mtu apotoshaye haki ya mgeni, yatima au mjane."Kisha watu wote watasema, "Amen!"

    23"Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mama mkwe wake."Kisha watu wote watasema, "Amen!"

  6. Gálatas 6

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 7–18 de 18

    7Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.

    8Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.

    18Ndugu zangu, neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  7. Tito 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 5–15 de 15

    5alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu,

    8Hili ni neno la kuaminiwa. Nami nataka uyasisitize mambo haya, ili wale ambao wamemwamini Mungu wapate kuwa waangalifu kujitoa kwa ajili ya kutenda mema wakati wote. Mambo haya ni mazuri tena ya manufaa kwa kila mtu.

    15Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale wanaotupenda katika imani.Neema iwe nanyi nyote. Amen.

  8. 1 Coríntios 14

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 14
    Mostrando versículos 1–32 de 40

    1Fuateni upendo na kutaka sana karama za roho, hasa karama ya unabii.

    2Kwa maana mtu yeyote anayesema kwa lugha, hasemi na wanadamu bali anasema na Mungu. Kwa kuwa hakuna mtu yeyote anayemwelewa, kwani anasema mambo ya siri kwa roho.

    32Roho za manabii huwatii manabii.

  9. Romanos 16

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 8–27 de 27

    8Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika Bwana.

    20Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.Neema ya Bwana wetu Yesu iwe nanyi. Amen.

    27Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen.

  10. Cânticos 4

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 10–16 de 16

    10Tazama jinsi pendo lako linavyofurahisha,dada yangu, bibi arusi wangu!Pendo lako linafurahisha aje zaidi ya divai,na harufu ya manukato yako zaidi ya kikolezo chochote!

    15Wewe ni chemchemi ya bustani,kisima cha maji yatiririkayo,yakitiririka kutoka Lebanoni.Mpendwa

    16Amka, upepo wa kaskazini,na uje, upepo wa kusini!Vuma juu ya bustani yangu,ili harufu yake nzuri iweze kuenea mpaka ngʼambo.Mpendwa wangu na aje bustanini mwakena kuonja matunda mazuri sana.

  11. Provérbios 14

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 14
    Mostrando versículos 22–30 de 35

    22Je, wale wanaopanga ubaya hawapotoki?Bali wale wanaopanga kilicho chemahupata upendo na uaminifu.

    27Kumcha Bwana ni chemchemi ya uzima,ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

    30Moyo wenye amani huupa mwili uzima,bali wivu huozesha mifupa.

  12. Romanos 15

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 2–33 de 33

    2Kila mmoja wetu inampasa kumpendeza jirani yake kwa mambo mema, ili kumjenga katika imani.

    32ili kwa mapenzi ya Mungu niweze kuja kwenu kwa furaha, nami niburudishwe pamoja nanyi.

    33Mungu wa amani na awe pamoja nanyi nyote. Amen.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo