10Ikiwa Timotheo atakuja kwenu, hakikisheni …
11Basi asiwepo mtu atakayekataa kumpokea. Msafirisheni kwa amani ili aweze kunijia tena. Namtarajia pamoja na ndugu.
12Basi kwa habari za ndugu …
30 resultados encontrados
10Ikiwa Timotheo atakuja kwenu, hakikisheni …
11Basi asiwepo mtu atakayekataa kumpokea. Msafirisheni kwa amani ili aweze kunijia tena. Namtarajia pamoja na ndugu.
12Basi kwa habari za ndugu …
14Kwa hiyo simameni imara mkiwa …
15nayo miguu yenu ifungiwe utayari tuupatao kwa Injili ya amani.
16Zaidi ya haya yote, twaeni …
8kama ni kutia moyo na …
9Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema.
10Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine.
5Haukosi kuwa na adabu, hautafuti …
6Upendo haufurahii mabaya bali hufurahi pamoja na kweli.
7Upendo huvumilia yote, huamini yote, …
6Sisi twatokana na Mungu na …
7Wapendwa, tupendane, kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu. Kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.
8Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa …
4Hasira ni ukatili na ghadhabu …
5Afadhali karipio la wazi
6Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha …
3Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu …
4Mali huleta marafiki wengi,
5Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,
4Nasi tuna tumaini katika Bwana …
5Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Kristo.
6Ndugu, tunawaagiza katika Jina la …
19Naye Mungu wangu atawajaza ninyi …
20Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen.
21Msalimuni kila mtakatifu katika Kristo Yesu. Ndugu walioko pamoja nami wanawasalimu.
7Mlipeni kila mtu kile mnachodaiwa. …
8Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria.
9Kwa kuwa amri hizi zisemazo, "Usizini," "Usiue," "Usiibe," "Usitamani," na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: "Mpende jirani yako kama nafsi yako."
7Mwisho wa mambo yote umekaribia. …
8Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
9Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko.
4"Lakini mtu awaye yote na …
5Unajikwaa usiku na mchana,
6watu wangu wanaangamizwa
10Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo …
11Uweza una yeye milele na milele. Amen.
12Kwa msaada wa Silvano,5:12 Yaani Sila. ambaye ninamhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.
4Kwa kuwa alisulubiwa katika udhaifu, …
5Jichunguzeni wenyewe mwone kama mnaishi katika imani. Jipimeni wenyewe. Je, hamtambui ya kuwa Yesu Kristo yumo ndani yenu? Kama sivyo, basi, mmeshindwa kufikia kipimo hicho!
6Natumaini mtaona kuwa sisi hatukushindwa.
11Mwanzoni alikuwa hakufai, lakini sasa …
12Namtuma kwako, yeye aliye moyo wangu hasa.
13Ningependa nikae naye ili ashike …
2Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda …
3Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.
4Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu.
12Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni wale …
13Waheshimuni sana katika upendo kwa ajili ya kazi zao. Ishini kwa amani ninyi kwa ninyi.
14Nasi twawasihi, ndugu, waonyeni walio …
2Ulijumuisha:
3Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
4Eltoladi, Bethuli, Horma,
12"Tazama, naja upesi! Thawabu yangu …
13Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
14"Wamebarikiwa wale wafuao mavazi yao, …
1Wale waliotia muhuri walikuwa:
2Seraya, Azaria, Yeremia,
3Pashuri, Amaria, Malkiya,