3Nje ya pazia la Ushuhuda ndani ya Hema la Kukutania, Aroni ataziwasha taa mbele za Bwana kuanzia jioni hadi asubuhi bila kuzima. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.
Resultados da busca por "paz"
47 resultados encontrados
- Capítulo 24
Levítico 24
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 23 - Capítulo 3
2 Crônicas 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 14 de 1714Akatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na za kitani safi, na kutarizi makerubi juu yake.
- Capítulo 3
Números 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 25 de 5125Katika Hema la Kukutania, Wagershoni walikuwa na wajibu wa kutunza Maskani na hema, vifuniko vyake, pazia katika mlango wa kuingilia ndani ya Hema la Kukutania,
- Capítulo 10
Hebreus 10
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 20 de 3920kwa njia mpya iliyo hai tuliyofunguliwa kwa ajili yetu kupitia kwenye lile pazia, yaani, mwili wake,
- Capítulo 3
Lamentações 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 65 de 6665Weka pazia juu ya mioyo yao,laana yako na iwe juu yao!
- Capítulo 16
2 Reis 16
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 18 de 2018Kwa heshima ya mfalme wa Ashuru, akaliondoa pia pazia la Sabato lililokuwa limewekwa ndani ya Hekalu, na akaondoa ile njia ya kifalme ya kuingia kwenye Hekalu la Bwana.
- Capítulo 4
Números 4
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 5 de 495Wakati kambi inapohamishwa, Aroni na wanawe wataingia ndani na kushusha lile pazia la kuzuilia na kufunika nalo Sanduku la Ushuhuda.
- Capítulo 15
Marcos 15
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 34 de 4734Mnamo saa tisa, Yesu akapaza sauti, akalia, "Eloi, Eloi, lama sabakthani?" (maana yake, "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?")
- Capítulo 23
Lucas 23
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 45 de 5645kwa sababu jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili.
- Capítulo 27
Mateus 27
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 46 de 6646Ilipofika saa tisa, Yesu akapaza sauti akalia, "Eloi, Eloi, lama sabakthani?" (maana yake, "Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?")
- Capítulo 54
Isaías 54
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 1 de 171"Imba, ewe mwanamke tasa,wewe ambaye kamwe hukuzaa mtoto;paza sauti kwa kuimba, piga kelele kwa furaha,wewe ambaye kamwe hukupata utungu;kwa sababu watoto wa mwanamke aliyeachwa ukiwa ni wengikuliko wa mwanamke mwenye mume,"asema Bwana.
- Capítulo 40
Êxodo 40
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 383Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake.
- Capítulo 21
Levítico 21
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 23 de 2423Lakini kwa sababu ya kilema chake, kamwe asikaribie karibu na pazia wala kukaribia madhabahu, asije akanajisi mahali patakatifu pangu. Mimi ndimi Bwana, niwafanyaye watakatifu.’ "
- Capítulo 9
Hebreus 9
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 283Nyuma ya pazia la pili, palikuwa na sehemu iliyoitwa Patakatifu pa Patakatifu,
- Capítulo 18
Números 18
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 7 de 327Lakini ni wewe tu na wanao mtakaoweza kutumika kama makuhani kuhusiana na kila kitu kwenye madhabahu na ndani ya pazia. Ninawapa utumishi wa ukuhani kama zawadi. Mtu mwingine yeyote atakayekaribia mahali patakatifu ni lazima auawe."
- Capítulo 58
Isaías 58
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 1 de 141"Piga kelele, usizuie.Paza sauti yako kama tarumbeta.Watangazieni watu wangu uasi wao,na kwa nyumba ya Yakobo dhambi zao.
- Capítulo 36
Êxodo 36
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 8 de 388Watu wote wenye ustadi miongoni mwa wafanyakazi wote wakatengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye mapazia hayo.
- Capítulo 16
Levítico 16
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 2 de 342Bwana akamwambia Mose: "Mwambie ndugu yako Aroni asije wakati wowote atakavyo yeye ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, nyuma ya pazia pale mbele ya kiti cha rehema kile kilichoko juu ya Sanduku la Agano, la sivyo atakufa, kwa sababu huwa ninatokea ndani ya wingu juu ya kile kiti cha rehema.
- Capítulo 32
Isaías 32
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 14 de 2014Ngome itaachwa,mji wenye kelele nyingi utahamwa,ngome ndani ya mji na mnara wa ulinzi vitakuwa ukiwa milele,mahali pazuri pa punda na malisho ya makundi ya kondoo,
- Capítulo 27
Êxodo 27
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 9 de 219"Tengeneza ua kwa ajili ya Hema la Kukutania. Upande wa kusini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja,27:9 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45. na utakuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,