Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "paz"

41 resultados encontrados

  1. 2 Reis 16

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículo 13 de 20

    13Akatoa sadaka yake ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka, akamimina sadaka ya kinywaji na kunyunyizia damu ya sadaka zake za amani juu ya hayo madhabahu.

  2. Lamentações 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 17–35 de 66

    17Amani yangu imeondolewa,nimesahau kufanikiwa ni nini.

    27Ni vyema mtu kuchukua nirabado angali kijana.

    35Kumnyima mtu haki zakembele za Aliye Juu Sana,

  3. Números 4

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 38–44 de 49

    38Wagershoni walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

    42Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

    44waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 3,200.

  4. Marcos 15

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 15
    Mostrando versículos 6–38 de 47

    6Ilikuwa desturi wakati wa Sikukuu ya Pasaka kumfungulia mfungwa yeyote ambaye watu wangemtaka.

    33Ilipofika saa sita, giza liliifunika nchi yote hadi saa tisa.

    38Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili kuanzia juu hadi chini.

  5. Lucas 23

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 23
    Mostrando versículos 29–50 de 56

    29Kwa maana wakati utafika mtakaposema, ‘Wamebarikiwa wanawake tasa, ambao matumbo yao hayakuzaa, wala matiti yao hayakunyonyesha!’

    45kwa sababu jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili.

    50Basi kulikuwa na mtu mmoja mwema na mwenye haki, jina lake Yosefu. Yeye alikuwa mjumbe wa Baraza la Wayahudi,23:50 Baraza la Wayahudi hapa ina maana ya Sanhedrin ambalo lilikuwa ndilo baraza la juu kabisa la utawala wa Kiyahudi, lililoundwa na wazee 70 pamoja na kuhani mkuu.

  6. Mateus 27

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 22–45 de 66

    22Pilato akawaambia, "Basi nifanye nini na huyu Yesu aitwaye Kristo?"Wakajibu wote, "Msulubishe!"

    39Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao

    45Tangu saa sita hadi saa tisa giza liliifunika nchi yote.

  7. Isaías 54

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 54
    Mostrando versículos 4–14 de 17

    4"Usiogope, wewe hutaaibika.Usiogope aibu, wewe hutaaibishwa.Wewe utasahau aibu ya ujana wako,wala hutakumbuka tena mashutumu ya ujane wako.

    13Watoto wako wote watafundishwa na Bwana,nayo amani ya watoto wako itakuwa kuu.

    14Kwa haki utathibitika:Kuonewa kutakuwa mbali nawe;hutaogopa chochote.Hofu itakuwa mbali nawe;haitakukaribia wewe.

  8. Êxodo 36

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 36
    Mostrando versículos 14–33 de 38

    14Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani.

    18Wakatengeneza vifungo hamsini vya shaba ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja.

    33Wakatengeneza taruma la katikati, likapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine.

  9. Levítico 16

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 18–33 de 34

    18"Kisha atatoka aje kwenye madhabahu yaliyo mbele za Bwana na kufanya upatanisho kwa ajili yake. Atachukua sehemu ya damu ya fahali na sehemu ya damu ya mbuzi, na kuiweka kwenye pembe za madhabahu.

    31Ni Sabato ya mapumziko, na lazima mfunge; ni agizo la kudumu.

    33na kufanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na madhabahu, na pia kwa ajili ya makuhani, pamoja na jumuiya yote ya watu.

  10. Hebreus 9

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 9
    Mostrando versículos 3–28 de 28

    3Nyuma ya pazia la pili, palikuwa na sehemu iliyoitwa Patakatifu pa Patakatifu,

    16Kwa habari ya wosia,9:16 Wosia hapa kwa neno la Kiyunani ni agano. ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa,

    28vivyo hivyo Kristo alitolewa mara moja tu kuwa dhabihu ili azichukue dhambi za watu wengi. Naye atakuja mara ya pili, sio kuchukua dhambi, bali kuwaletea wokovu wale wanaomngoja kwa shauku.

  11. Números 18

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 18
    Mostrando versículos 7–25 de 32

    7Lakini ni wewe tu na wanao mtakaoweza kutumika kama makuhani kuhusiana na kila kitu kwenye madhabahu na ndani ya pazia. Ninawapa utumishi wa ukuhani kama zawadi. Mtu mwingine yeyote atakayekaribia mahali patakatifu ni lazima auawe."

    15Kila mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu na wa mnyama, ambaye ametolewa kwa Bwana ni wenu. Lakini ni lazima mtamkomboa kila mwana mzaliwa wa kwanza na kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wanyama wasio safi.

    25Bwana akamwambia Mose,

  12. Isaías 58

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 58
    Mostrando versículos 1–12 de 14

    1"Piga kelele, usizuie.Paza sauti yako kama tarumbeta.Watangazieni watu wangu uasi wao,na kwa nyumba ya Yakobo dhambi zao.

    11Bwana atakuongoza siku zote,atayatosheleza mahitaji yako katika nchi kame,naye ataitia nguvu mifupa yako.Utakuwa kama bustani iliyonyweshwa vizuri,kama chemchemi ambayo maji yake hayakauki kamwe.

    12Watu wako watajenga tena magofu ya zamanina kuinua misingi ya kale;utaitwa Mwenye Kukarabati Kuta Zilizobomoka,Mwenye Kurejeza Barabara za Makao.

  13. Êxodo 27

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 2–6 de 21

    2Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.

    5Weka wavu huo chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.

    6Tengeneza mipiko ya mti wa mshita kwa ajili ya madhabahu, na uifunike kwa shaba.

  14. Levítico 4

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 1–10 de 35

    1Bwana akamwambia Mose,

    2"Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote afanyapo dhambi bila kukusudia na akatenda lile lililokatazwa katika amri yoyote ya Bwana:

    10kama vile mafuta yanayoondolewa kutoka kwenye maksai aliyetolewa sadaka ya amani. Kisha kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.

  15. Isaías 32

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 32
    Mostrando versículos 12–18 de 20

    12Pigeni matiti yenu kwa ajili ya mashamba mazuri,kwa ajili ya mizabibu iliyozaa vizuri

    17Matunda ya haki yatakuwa amani,matokeo ya haki yatakuwa utulivuna matumaini milele.

    18Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani,katika nyumba zilizo salama,katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.

  16. Êxodo 35

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 35
    Mostrando versículos 12–18 de 35

    12Sanduku la Agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha kiti cha rehema na pazia linalokizuia;

    17pazia la eneo la ua pamoja na nguzo zake na vitako vyake, pazia la ingilio la kwenye ua;

    18vigingi vya hema kwa ajili ya maskani pamoja na ua na kamba zake;

  17. Isaías 49

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 49
    Mostrando versículos 9–24 de 26

    9kuwaambia mateka, ‘Tokeni nje,’nao wale walio gizani, ‘Kuweni huru!’"Watajilisha kando ya barabarana kupata malisho yao juu ya kila kilima kilicho kitupu.

    13Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu;furahi, ee dunia;pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima!Kwa maana Bwana anawafariji watu wake,naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.

    24Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita,au mateka kuokolewa kutoka kwa watu wakali?

  18. Êxodo 38

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 38
    Mostrando versículos 5–20 de 31

    5Akasubu pete za shaba za kushikilia ile mipiko kwa ajili ya zile pembe nne za huo wavu wa shaba.

    6Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.

    20Vigingi vyote vya maskani na vya ua ulioizunguka vilikuwa vya shaba.

  19. Isaías 44

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículos 5–27 de 28

    5Mmoja atasema, ‘Mimi ni wa Bwana’;mwingine atajiita kwa jina la Yakobo;vilevile mwingine ataandika juu ya mkono wake, ‘Wa Bwana,’na kujiita kwa jina la Israeli.

    10Ni nani atengenezaye mungu na kusubu sanamu,ambayo haiwezi kumfaidia kitu chochote?

    27niambiaye kilindi cha maji, ‘Kauka,nami nitakausha vijito vyako,’

  20. Êxodo 39

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 39
    Mostrando versículos 11–37 de 43

    11safu ya pili ilikuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;

    35Sanduku la Ushuhuda pamoja na mipiko yake na kiti cha rehema,

    37kinara cha taa cha dhahabu safi, safu zake za taa pamoja na vifaa vyake vyote pamoja na mafuta kwa ajili ya taa;

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo