Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "salvação"

59 resultados encontrados

  1. Gálatas 2

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 16–20 de 21

    16bado tunajua ya kwamba mtu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria bali kwa njia ya imani katika Yesu Kristo. Hivyo sisi pia, tumemwamini Kristo Yesu ili tupate kuhesabiwa haki kwa njia ya imani katika Kristo, wala si kwa matendo ya sheria, kwa sababu kwa kushika sheria hakuna hata mtu mmoja atakayehesabiwa haki.

    17"Lakini tukitafuta kuhesabiwa haki katika Kristo, inakuwa dhahiri kwamba sisi ni wenye dhambi. Je, ina maana kwamba Kristo amekuwa mtumishi wa dhambi? La hasha!

    20Nimesulubiwa pamoja na Kristo, wala si mimi tena ninayeishi, bali Kristo ndiye aishiye ndani yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi kwa imani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda na kujitoa kwa ajili yangu.

  2. Gálatas 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–27 de 29

    1Ninyi Wagalatia wajinga! Ni nani aliyewaroga? Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele yenu kwamba amesulubiwa.

    20Basi mpatanishi huhusisha zaidi ya upande mmoja, lakini Mungu ni mmoja.

    27Kwa maana wote mliobatizwa ndani ya Kristo, mmemvaa Kristo.

  3. Josué 19

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 20–37 de 51

    20Rabithi, Kishioni, Ebesi,

    21Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.

    37Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,

  4. Números 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 16–30 de 31

    16" ‘Kuhani atamleta huyo mwanamke na kumsimamisha mbele za Bwana.

    25Kuhani atachukua sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu kutoka mikononi mwa huyo mwanamke, naye ataipunga mbele za Bwana na kuileta madhabahuni.

    30au hisia za wivu zinapomjia mwanaume kwa sababu ya kumshuku mkewe. Kuhani atamfanya huyo mwanamke kusimama mbele za Bwana na atatumia sheria hii yote kwa huyo mwanamke.

  5. Provérbios 2

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 7–12 de 22

    7Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,

    11Busara itakuhifadhina ufahamu utakulinda.

    12Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,

  6. 1 Tessalonicenses 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 22–28 de 28

    22Jiepusheni na uovu wa kila namna.

    23Mungu mwenyewe, Mungu wa amani, awatakase ninyi kabisa. Nanyi mhifadhiwe roho zenu, nafsi zenu na miili yenu, bila kuwa na lawama katika Bwana wetu Yesu Kristo.

    28Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. Amen.

  7. Atos 22

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 3–16 de 30

    3"Mimi ni Myahudi, niliyezaliwa Tarso huko Kilikia, lakini nimelelewa katika mji huu. Miguuni mwa Gamalieli, nilifundishwa kikamilifu katika sheria ya baba zetu, na nikawa mwenye juhudi kwa ajili ya Mungu kama kila mmoja wenu alivyo leo.

    7Nikaanguka chini, nikasikia sauti ikiniambia, ‘Sauli, Sauli! Mbona unanitesa?’

    16Sasa basi, mbona unakawia? Inuka, ukabatizwe na dhambi zako zikasafishwe, ukiliita Jina lake.’

  8. Daniel 6

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 14–27 de 28

    14Wakati mfalme aliposikia hili, akahuzunika mno. Akakusudia kumwokoa Danieli, hivyo akafanya kila jitihada ya kumwokoa hadi jua likatua.

    20Wakati alipokaribia lile tundu, akamwita Danieli kwa sauti ya uchungu, "Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai! Je, Mungu wako unayemtumikia daima, ameweza kukuokoa kwa simba?"

    27Huponya na kuokoa;hufanya ishara na maajabumbinguni na duniani.Amemwokoa Danielikutoka nguvu za simba."

  9. Apocalipse 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 5–7 de 20

    5na kutoka kwa Yesu Kristo ambaye ni yule shahidi mwaminifu, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, mtawala wa wafalme wa dunia.Kwake yeye anayetupenda na ambaye ametuweka huru kutoka dhambi zetu kwa damu yake,

    6akatufanya sisi kuwa ufalme na makuhani, tumtumikie Mungu wake ambaye ni Baba yake. Utukufu na uwezo ni vyake milele na milele! Amen.

    7Tazama! Anakuja na mawingu,na kila jicho litamwona,hata wale waliomchoma;na makabila yote dunianiyataomboleza kwa sababu yake.Naam, ndivyo itakavyokuwa! Amen.

  10. Judas 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 1–25 de 25

    1Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo na nduguye Yakobo:Kwa wale walioitwa, wapendwa katika Mungu Baba na kuhifadhiwa salama ndani ya Yesu Kristo:

    22Wahurumieni walio na mashaka;

    25kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen.

  11. Marcos 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 13–36 de 37

    13Watu wote watawachukia kwa ajili ya Jina langu. Lakini yule atakayevumilia hadi mwisho ataokolewa.

    33Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.

    36Kama akija ghafula, asije akawakuta mmelala.

  12. 1 João 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 4–21 de 21

    4Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu.

    6Huyu ndiye alikuja kwa maji na damu, yaani, Yesu Kristo. Hakuja kwa maji peke yake, bali kwa maji na damu. Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.

    21Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.

  13. Tito 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 5–15 de 15

    5alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu,

    6ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu,

    15Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale wanaotupenda katika imani.Neema iwe nanyi nyote. Amen.

  14. 2 Coríntios 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 12–14 de 14

    12Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu.

    13Watakatifu wote wanawasalimu.

    14Neema ya Bwana Yesu Kristo, na upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote. Amen.

  15. 2 Timóteo 4

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 9–22 de 22

    9Jitahidi kuja kwangu upesi

    18Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen.

    22Bwana awe pamoja na roho yako. Neema iwe pamoja nanyi. Amen.

  16. Neemias 10

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 2–25 de 39

    2Seraya, Azaria, Yeremia,

    24Haloheshi, Pilha, Shobeki,

    25Rehumu, Hashabna, Maaseya,

  17. Filemom 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 3–25 de 25

    3Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.

    16Si kama mtumwa, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu mpendwa. Yeye ni mpendwa sana kwangu na hata kwako zaidi, yeye kama mwanadamu na kama ndugu katika Bwana.

    25Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  18. Isaías 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 19–23 de 26

    19vipuli, vikuku, shela,

    21pete zenye muhuri, pete za puani,

    23vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.

  19. Jó 21

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 21
    Mostrando versículos 23–32 de 34

    23Mtu mmoja hufa akiwa na nguvu zake kamili,akiwa salama na mwenye raha kamili,

    30kwamba mtu mwovu huepushwa kutoka siku ya maafa,kwamba huokolewa kutoka siku ya ghadhabu?

    32Hupelekwa kaburini,nao ulinzi ukawekwa kwenye kaburi lake.

  20. 2 Samuel 22

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 44–49 de 51

    44"Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu;umenihifadhi mimi kama kiongozi wa mataifa.Watu ambao sikuwajua wananitumikia,

    47"Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!Atukuzwe Mungu,Mwamba, Mwokozi wangu!

    49aniwekaye huru toka kwa adui zangu.Uliniinua juu ya adui zangu;uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo