Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "paz"

47 resultados encontrados

  1. Levítico 4

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículo 6 de 35

    6Atachovya kidole chake katika hiyo damu na kuinyunyiza sehemu yake mara saba mbele za Bwana mbele ya pazia la mahali patakatifu.

  2. Isaías 49

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 49
    Mostrando versículo 13 de 26

    13Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu;furahi, ee dunia;pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima!Kwa maana Bwana anawafariji watu wake,naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.

  3. Êxodo 35

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 35
    Mostrando versículo 12 de 35

    12Sanduku la Agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha kiti cha rehema na pazia linalokizuia;

  4. Isaías 44

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículo 23 de 28

    23Enyi mbingu, imbeni kwa furaha,kwa maana Bwana amefanya jambo hili.Ee vilindi vya dunia, piga kelele.Enyi milima, pazeni sauti kwa nyimbo,enyi misitu na miti yenu yote,kwa maana Bwana amemkomboa Yakobo,ameuonyesha utukufu wake katika Israeli.

  5. Êxodo 38

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 38
    Mostrando versículo 9 de 31

    9Kisha akatengeneza ua. Upande wa kusini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja,38:9 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45. na ulikuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,

  6. Êxodo 39

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 39
    Mostrando versículo 34 de 43

    34kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, kifuniko cha ngozi za pomboo,39:34 Pomboo hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. pazia la kufunikia;

  7. Êxodo 30

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 30
    Mostrando versículo 6 de 38

    6Weka hayo madhabahu mbele ya lile pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda, lililo mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya Sanduku la Ushuhuda, mahali ambapo nitakutana nawe.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo