6Atachovya kidole chake katika hiyo damu na kuinyunyiza sehemu yake mara saba mbele za Bwana mbele ya pazia la mahali patakatifu.
Resultados da busca por "paz"
47 resultados encontrados
- Capítulo 4
Levítico 4
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 6 de 35 - Capítulo 49
Isaías 49
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 13 de 2613Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu;furahi, ee dunia;pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima!Kwa maana Bwana anawafariji watu wake,naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.
- Capítulo 35
Êxodo 35
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 12 de 3512Sanduku la Agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha kiti cha rehema na pazia linalokizuia;
- Capítulo 44
Isaías 44
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 23 de 2823Enyi mbingu, imbeni kwa furaha,kwa maana Bwana amefanya jambo hili.Ee vilindi vya dunia, piga kelele.Enyi milima, pazeni sauti kwa nyimbo,enyi misitu na miti yenu yote,kwa maana Bwana amemkomboa Yakobo,ameuonyesha utukufu wake katika Israeli.
- Capítulo 38
Êxodo 38
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 9 de 319Kisha akatengeneza ua. Upande wa kusini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja,38:9 Dhiraa 100 ni sawa na mita 45. na ulikuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,
- Capítulo 39
Êxodo 39
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 34 de 4334kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, kifuniko cha ngozi za pomboo,39:34 Pomboo hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. pazia la kufunikia;
- Capítulo 30
Êxodo 30
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 6 de 386Weka hayo madhabahu mbele ya lile pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda, lililo mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya Sanduku la Ushuhuda, mahali ambapo nitakutana nawe.