Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "salvação"

64 resultados encontrados

  1. Jó 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 11–19 de 27

    11Huwainua juu wanyonge,nao wale waombolezao huinuliwa wakawa salama.

    15Humwokoa mhitaji kutokana na upanga ulioko kinywani mwao;huwaokoa kutokana na makucha ya wenye nguvu.

    19Kutoka majanga sita atakuokoa;naam, hata katika saba hakuna dhara litakalokupata wewe.

  2. Esdras 10

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 37–42 de 44

    37Matania, Matenai na Yaasu.

    40Maknadebai, Shashai, Sharai,

    42Shalumu, Amaria na Yosefu.

  3. Filemom 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 3–25 de 25

    3Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.

    16Si kama mtumwa, bali bora kuliko mtumwa, kama ndugu mpendwa. Yeye ni mpendwa sana kwangu na hata kwako zaidi, yeye kama mwanadamu na kama ndugu katika Bwana.

    25Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  4. 2 Samuel 22

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 44–49 de 51

    44"Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu;umenihifadhi mimi kama kiongozi wa mataifa.Watu ambao sikuwajua wananitumikia,

    47"Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!Atukuzwe Mungu,Mwamba, Mwokozi wangu!

    49aniwekaye huru toka kwa adui zangu.Uliniinua juu ya adui zangu;uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

  5. Mateus 27

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 27
    Mostrando versículos 22–42 de 66

    22Pilato akawaambia, "Basi nifanye nini na huyu Yesu aitwaye Kristo?"Wakajibu wote, "Msulubishe!"

    40na kusema, "Wewe ambaye utalivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu, jiokoe mwenyewe basi! Kama wewe ni Mwana wa Mungu, shuka kutoka msalabani."

    42"Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! Yeye ni Mfalme wa Israeli! Ashuke sasa kutoka msalabani, nasi tutamwamini.

  6. Salmos 18

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 18
    Mostrando versículos 2–48 de 50

    2Bwana ni mwamba wangu,ngome yangu na mwokozi wangu,Mungu wangu ni mwamba,ambaye kwake ninakimbilia.Yeye ni ngao yangu na pembe ya wokovu wangu,ngome yangu.

    46Bwana yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!Atukuzwe Mungu Mwokozi wangu!

    48aniokoaye na adui zangu.Uliniinua juu ya adui zangu;uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

  7. Isaías 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 19–23 de 26

    19vipuli, vikuku, shela,

    21pete zenye muhuri, pete za puani,

    23vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.

  8. 2 Timóteo 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 9–14 de 18

    9ambaye alituokoa na kutuita katika mwito mtakatifu: si kwa kadiri ya matendo yetu mema bali kwa sababu ya kusudi lake mwenyewe na neema yake. Neema hii tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele.

    10Lakini sasa imefunuliwa kwa kudhihirishwa kwake Mwokozi wetu, Kristo Yesu, ambaye amebatilisha mauti na kuleta uzima na kutokufa kwa njia ya Injili.

    14Ilinde ile amana uliyokabidhiwa kwa Roho Mtakatifu akaaye ndani yetu.

  9. Provérbios 14

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 14
    Mostrando versículos 22–27 de 35

    22Je, wale wanaopanga ubaya hawapotoki?Bali wale wanaopanga kilicho chemahupata upendo na uaminifu.

    25Shahidi wa kweli huokoa maisha,bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.

    27Kumcha Bwana ni chemchemi ya uzima,ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

  10. Lamentações 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 26–39 de 66

    26ni vyema kungojea kwa utulivukwa ajili ya wokovu wa Bwana.

    35Kumnyima mtu haki zakembele za Aliye Juu Sana,

    39Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamikawakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake?

  11. Romanos 7

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 10–25 de 25

    10Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.

    24Ole wangu mimi maskini! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?

    25Ashukuriwe Mungu kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu! Hivyo basi, mimi mwenyewe kwa akili zangu ni mtumwa wa sheria ya Mungu, lakini katika asili ya dhambi ni mtumwa wa sheria ya dhambi.

  12. Levítico 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 1–12 de 17

    1" ‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya amani, naye akatoa ngʼombe kutoka kundi, akiwa dume au jike, atamleta mnyama asiye na dosari mbele za Bwana.

    2Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake na kumchinja penye ingilio la Hema la Kukutania. Ndipo makuhani wana wa Aroni watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.

    12" ‘Kama sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za Bwana.

  13. Números 31

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 31
    Mostrando versículos 22–45 de 54

    22Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,

    33ngʼombe 72,000,

    45punda 30,500,

  14. 1 Crônicas 14

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 14
    Mostrando versículos 5–7 de 17

    5Ibihari, Elishua, Elpeleti,

    6Noga, Nefegi, Yafia,

    7Elishama, Beeliada na Elifeleti.

  15. Josué 18

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 18
    Mostrando versículos 22–27 de 28

    22Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,

    23Avimu, Para na Ofra,

    27Rekemu, Irpeeli, Tarala,

  16. Jó 14

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 14
    Mostrando versículos 2–9 de 22

    2Huchanua kama ua kisha hunyauka;huwa kama kivuli kipitacho upesi, wala hadumu.

    4Ni nani awezaye kutoa kitu safi kutoka kitu najisi?Hakuna awezaye!

    9lakini kwa kupata dalili ya maji utachipuana kutoa machipukizi kama mche.

  17. Lucas 17

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 17
    Mostrando versículos 15–33 de 37

    15Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Yesu, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.

    16Akajitupa miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.

    33Mtu yeyote anayejaribu kuyaokoa maisha yake atayapoteza, na yeyote atakayeyapoteza maisha yake atayaokoa.

  18. Gálatas 6

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 7–18 de 18

    7Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.

    8Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.

    18Ndugu zangu, neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  19. Provérbios 18

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 18
    Mostrando versículos 9–22 de 24

    9Mtu aliye mlegevu katika kazi yakeni ndugu na yule anayeharibu.

    10Jina la Bwana ni ngome imara,wenye haki huikimbilia na kuwa salama.

    22Apataye mke apata kitu chemanaye ajipatia kibali kwa Bwana.

  20. Romanos 6

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 2–9 de 23

    2La hasha! Sisi tulioifia dhambi, tutawezaje kuendelea kuishi tena katika dhambi?

    3Au hamjui ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake?

    9Kwa maana tunajua kwamba Kristo, kwa sababu alifufuliwa kutoka kwa wafu, hawezi kufa tena; mauti haina tena mamlaka juu yake.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo