Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

128 resultados encontrados

  1. Lucas 19

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 23–38 de 48

    23kwa nini basi hukuweka fedha zangu kwa watoa riba, ili nitakaporudi nichukue iliyo yangu na riba yake?’

    25"Wakamwambia, ‘Bwana, mbona; tayari anayo mafungu kumi!’

    38"Amebarikiwa Mfalme ajaye kwa Jina la Bwana!""Amani mbinguni na utukufu huko juu sana."

  2. 1 Crônicas 18

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 18
    Mostrando versículos 12–15 de 17

    12Abishai mwana wa Seruya akawaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.

    15Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;

  3. Neemias 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 10–19 de 19

    10Mimi na ndugu zangu na watu wangu tunawakopesha watu fedha na nafaka. Lakini jambo hili la kutoza riba likome!

    15Lakini watawala wa mwanzoni, wale walionitangulia, waliwalemea watu na kuchukua kutoka kwao shekeli arobaini za fedha,5:15 Shekeli 40 za fedha ni sawa na gramu 456. pamoja na chakula na mvinyo. Wasaidizi wao pia walijifanya wakuu juu ya watu. Lakini kwa kumheshimu Mungu sikufanya hivyo.

    19Unikumbuke kwa fadhili, Ee Mungu wangu, kwa yote niliyofanya kwa ajili ya watu hawa.

  4. 1 Pedro 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 11–14 de 14

    11Uweza una yeye milele na milele. Amen.

    12Kwa msaada wa Silvano,5:12 Yaani Sila. ambaye ninamhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.

    14Salimianeni kwa busu la upendo.Amani iwe nanyi nyote mlio katika Kristo.

  5. Isaías 50

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 50
    Mostrando versículos 4–10 de 11

    4Bwana Mwenyezi amenipa ulimi uliofundishwa,ili kujua neno limtegemezalo aliyechoka.Huniamsha asubuhi kwa asubuhi,huamsha sikio langu lisikie kama mtu afundishwaye.

    9Ni Bwana Mwenyezi anisaidiaye mimi.Ni nani huyo atakayenihukumu?Wote watachakaa kama vazi,nondo watawala wawamalize.

    10Ni nani miongoni mwenu amchaye Bwana,na kulitii neno la mtumishi wake?Yeye atembeaye gizani,yeye asiye na nuru,na alitumainie jina la Bwana,na amtegemee Mungu wake.

  6. Naum 2

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 1–10 de 13

    1Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi.Linda ngome,chunga barabara,jitieni nguvu wenyewe,kusanya nguvu zako zote!

    9Chukueni nyara za fedha!Chukueni nyara za dhahabu!Wingi wake hauna mwisho,utajiri kutoka hazina zake zote!

    10Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi!Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea,miili inatetemeka,na kila uso umebadilika rangi.

  7. Provérbios 19

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 19
    Mostrando versículos 7–27 de 29

    7Mtu maskini huepukwa na ndugu zake wote:Je, marafiki zake watamkwepa kiasi gani!Ingawa huwafuata kwa kuwasihi,hawapatikani popote.

    22Lile mtu alionealo shauku ni upendo usio na mwisho,afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo.

    27Mwanangu, ukiacha kusikiliza mafundisho,utatangatanga mbali na maneno ya maarifa.

  8. Eclesiastes 12

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículos 7–10 de 14

    7nayo mavumbi kurudi ardhini yalikotoka,na roho kurudi kwa Mungu aliyeitoa.

    8Mhubiri asema, "Ubatili! Ubatili!Kila kitu ni ubatili!"

    10Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.

  9. 2 Samuel 8

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 12–17 de 18

    12yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.

    16Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;

    17Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi;

  10. Deuteronômio 14

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 14
    Mostrando versículos 13–21 de 29

    13kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote,

    17mwari, nderi, mnandi,

    21Msile kitu chochote mtakachokuta kimekufa. Mnaweza kumpa mgeni yeyote anayeishi katika mojawapo ya miji yenu, naye anaweza kula au mnaweza kumuuzia mtu wa nchi nyingine. Lakini ninyi ni watu watakatifu kwa Bwana Mungu wenu.Msitokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.

  11. 2 Reis 22

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 22
    Mostrando versículos 5–17 de 20

    5Waambie waikabidhi kwa watu walioteuliwa kusimamia kazi ya Hekalu. Waamuru watu hawa wawalipe wafanyakazi ambao wanakarabati Hekalu la Bwana:

    6wale maseremala, wajenzi na waashi. Waambie pia wanunue mbao na mawe yaliyochongwa ili kukarabati Hekalu.

    17Kwa sababu wameniacha mimi na kufukiza uvumba kwa miungu mingine, na kunighadhibisha kwa sanamu zote zilizotengenezwa kwa mikono yao, hasira yangu itawaka dhidi ya mahali hapa, wala haitatulizwa.’

  12. Sofonias 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 7–17 de 18

    7Nyamazeni mbele za Bwana Mwenyezi,kwa maana siku ya Bwana iko karibu.Bwana ameandaa dhabihu,amewaweka wakfu wale aliowaalika.

    15Siku ile ni siku ya ghadhabu,siku ya fadhaa na dhiki,siku ya uharibifu na ukiwa,siku ya giza na utusitusi,siku ya mawingu na giza nene,

    17Nitawaletea watu dhiki,nao watatembea kama vipofu,kwa sababu wametenda dhambidhidi ya Bwana.Damu yao itamwagwa kama vumbina matumbo yao kama taka.

  13. 2 Crônicas 16

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 8–9 de 14

    8Je, hukumbuki lililotendeka kwa Wakushi na Walibia, hawakuwa jeshi lenye nguvu na magari mengi ya vita na wapanda farasi? Hata hivyo, ulipomtegemea Bwana yeye aliwatia mkononi mwako.

    9Kwa kuwa macho ya Bwana hukimbiakimbia duniani kote ili kujionyesha mwenye nguvu kwa ajili ya wale ambao mioyo yao inamtegemea kwa ukamilifu. Umefanya jambo la upumbavu na kuanzia sasa na kuendelea utakuwa na vita."

  14. 1 Reis 10

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 4–27 de 29

    4Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Solomoni na jumba la kifalme alilokuwa amejenga,

    8Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wasimamao mbele yako daima na kusikia hekima yako!

    27Mfalme akafanya fedha kuwa kitu cha kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani.

  15. Eclesiastes 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 2–7 de 20

    2Usiwe mwepesi kuzungumza,usiwe na haraka katika moyo wakokuzungumza lolote mbele za Mungu.Mungu yuko mbinguninawe uko duniani,kwa hiyo maneno yakona yawe machache.

    6Usiruhusu kinywa chako kukuingiza dhambini. Tena usijitetee mbele ya huyo mjumbe wa hekaluni, ukisema, "Niliweka nadhiri kwa makosa." Kwa nini Mungu akasirike kwa ajili ya yale unayosema na kuiharibu kazi ya mikono yako?

    7Kuota ndoto kwingi na maneno mengi ni ubatili. Kwa hiyo simama katika kicho cha Mungu.

  16. 2 Timóteo 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 8–17 de 17

    8Kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Mose, vivyo hivyo watu hawa hupingana na ile kweli. Hawa ni watu wenye akili zilizopotoka, ambao wamekataliwa kwa mambo ya imani.

    15na jinsi ambavyo tangu utoto umeyajua Maandiko matakatifu, ambayo yanaweza kukuhekimisha upate wokovu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu.

    17ili mtu wa Mungu awe amekamilishwa, apate kutenda kila kazi njema.

  17. 1 Timóteo 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 9–16 de 16

    9Inawapasa kushikamana sana na ile siri ya imani kwa dhamiri safi.

    13Wale ambao wamehudumu vyema katika huduma ya ushemasi hujipatia msimamo bora na ujasiri mkubwa katika imani yao ndani ya Kristo Yesu.

    16Bila shaka yoyote, siri ya utauwa ni kubwa:Alidhihirishwa katika mwili wa kibinadamu,akathibitishwa kuwa na haki katika Roho,akaonekana na malaika,akahubiriwa miongoni mwa mataifa,akaaminiwa ulimwenguni,akachukuliwa juu katika utukufu.

  18. Esdras 7

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 4–28 de 28

    4mwana wa Zerahia, mwana wa Uzi, mwana wa Buki,

    5mwana wa Abishua, mwana wa Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani mkuu Aroni.

    28ambaye ameniongezea kibali chake mbele ya mfalme, washauri wake na maafisa wote wa mfalme wenye uwezo. Kwa kuwa mkono wa Bwana Mungu wangu ulikuwa pamoja nami, nilijipa moyo nikakusanya watu walio viongozi kutoka Israeli wakwee pamoja nami.

  19. Amós 8

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 8
    Mostrando versículos 1–10 de 14

    1Hili ndilo alilonionyesha Bwana Mwenyezi katika maono: kikapu cha matunda yaliyoiva.

    5mkisema,"Ni lini Mwezi Mwandamo utakapopitaili tupate kuuza nafaka,na Sabato itakwisha liniili tuweze kuuza ngano?"Mkipunguza vipimo,na kuongeza bei,na kudanganya kwa mizani zisizo sawa,

    10Nitageuza sikukuu zenu za kidini kuwa maombolezo,na kuimba kwenu kote kuwe kilio.Nitawafanya ninyi nyote mvae nguo ya guniana kunyoa nywele zenu.Nitaufanya wakati ule uwe kama wa kuombolezea mwana wa pekee,na mwisho wake kama siku ya uchungu.

  20. Ezequiel 7

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 1–6 de 27

    1Neno la Bwana likanijia kusema:

    5"Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Maafa! Maafa ambayo hayajasikiwa yanakuja.

    6Mwisho umewadia! Mwisho umewadia! Umejiinua wenyewe dhidi yenu. Umewadia!

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo