10Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea."
Resultados da busca por "fé"
126 resultados encontrados
- Capítulo 19
Lucas 19
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 10 de 48 - Capítulo 5
Neemias 5
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 4 de 194Bado kukawa na wengine waliokuwa wakisema, "Ilitubidi tukope fedha ili kulipa kodi ya mfalme kwa ajili ya mashamba yetu na mashamba yetu ya mizabibu.
- Capítulo 5
1 Pedro 5
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 2 de 142lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu anavyowataka mwe; si kwa tamaa ya fedha, bali mlio na bidii katika kutumika.
- Capítulo 2
Naum 2
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 9 de 139Chukueni nyara za fedha!Chukueni nyara za dhahabu!Wingi wake hauna mwisho,utajiri kutoka hazina zake zote!
- Capítulo 50
Isaías 50
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 6 de 116Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao,mashavu yangu wale wangʼoao ndevu zangu;sikuuficha uso wangu kutokana na fedhehana kutemewa mate.
- Capítulo 19
Provérbios 19
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 26 de 2926Yeye amwibiaye baba yake na kumfukuza mama yakeni mwana aletaye aibu na fedheha.
- Capítulo 12
Eclesiastes 12
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 6 de 146Mkumbuke Muumba wako: kabla haijakatika kamba ya fedha,au bakuli la dhahabu halijavunjika;kabla mtungi kuvunjika kwenye chemchemi,au gurudumu kuvunjika kisimani,
- Capítulo 8
2 Samuel 8
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 10 de 1810akamtuma mwanawe Yoramu kwa Mfalme Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Hadadezeri, kwa kuwa Hadadezeri alikuwa amepigana vita na Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya fedha, dhahabu na shaba.
- Capítulo 22
2 Reis 22
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 4 de 204"Panda uende kwa Hilkia, kuhani mkuu, umwambie ahesabu zile fedha ambazo zimeletwa katika Hekalu la Bwana, ambazo mabawabu wamekusanya kutoka kwa watu.
- Capítulo 1
Sofonias 1
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 11 de 1811Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;wafanyabiashara wenu wote wameangamizwa,wote ambao wanafanya biashara ya fedhawataangamizwa.
- Capítulo 16
2 Crônicas 16
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 2 de 142Ndipo Asa akachukua fedha na dhahabu kutoka hazina ya Hekalu la Bwana na kutoka jumba lake mwenyewe la kifalme na kumpelekea Ben-Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye alikuwa anatawala huko Dameski.
- Capítulo 10
1 Reis 10
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 21 de 2921Vikombe vyote vya Mfalme Solomoni vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na vyombo vyote vya nyumbani katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hakukuwa na kitu kilichotengenezwa kwa fedha, kwa sababu fedha ilionekana ya thamani ndogo siku za Solomoni.
- Capítulo 3
2 Timóteo 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 2 de 172Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kumkufuru Mungu, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio watakatifu,
- Capítulo 5
Eclesiastes 5
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 10 de 2010Yeyote apendaye fedha kamwehatosheki na fedha;yeyote apendaye utajiri kamwehatosheki na kipato chake.Hili nalo pia ni ubatili.
- Capítulo 3
1 Timóteo 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 3 de 163asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha.
- Capítulo 7
Esdras 7
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 15 de 2815Zaidi ya hayo, uchukue pamoja nawe fedha na dhahabu ambazo mfalme na washauri wake wamempa Mungu wa Israeli kwa hiari, Mungu ambaye maskani yake yako Yerusalemu,
- Capítulo 8
Amós 8
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 6 de 146mkiwanunua maskini kwa fedha,na wahitaji kwa jozi ya viatu,na mkiuza hata takataka za nganopamoja na ngano.
- Capítulo 3
Ester 3
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 9 de 159Kama inampendeza mfalme, itolewe amri kuwaangamiza, nami nitaweka talanta 10,0003:9 Talanta 10,000 za fedha ni sawa na tani 340. za fedha katika hazina ya mfalme kwa ajili ya watu watakaoshughulikia jambo hili."
- Capítulo 7
Josué 7
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 21 de 2621Nilipoona katika nyara joho zuri la kutoka Babeli, shekeli mia mbili7:21 Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3. za fedha, na kabari ya dhahabu ya uzito wa shekeli hamsini,7:21 Shekeli 50 ni sawa na gramu 600. nikavitamani na nikavichukua. Tazama, vimefichwa ardhini ndani ya hema langu, pamoja na hiyo fedha chini yake."
- Capítulo 11
Zacarias 11
Toleo Wazi la Neno: Biblia TakatifuMostrando versículo 9 de 179nikasema, "Sitakuwa mchungaji wenu. Waache wanaokufa wafe na wanaoangamia waangamie. Wale waliobakia kila mmoja na ale nyama ya mwenzake."