12Basi kwa habari za ndugu …
13Kesheni, simameni imara katika imani, fanyeni kiume, kuweni mashujaa kuweni hodari.
14Fanyeni kila kitu katika upendo.
125 resultados encontrados
12Basi kwa habari za ndugu …
13Kesheni, simameni imara katika imani, fanyeni kiume, kuweni mashujaa kuweni hodari.
14Fanyeni kila kitu katika upendo.
10Kwa maana kupenda fedha ndiyo …
11Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani, upendo, saburi na upole.
12Pigana vile vita vizuri vya …
4Furahini katika Bwana siku zote, …
5Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu.
6Msijisumbue kwa jambo lolote, bali …
19Niombeeni na mimi pia, ili …
20ambayo mimi ni balozi wake katika vifungo. Ombeni ili nipate kuhubiri kwa ujasiri kama inipasavyo.
21Tikiko, aliye ndugu mpendwa na …
10Aroni alipokuwa akizungumza na jumuiya …
11Bwana akamwambia Mose,
12"Nimesikia manungʼuniko ya Waisraeli. Waambie, …
1Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu, …
2kwa dada yetu mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:
3Neema iwe nanyi na amani …
4Nasi tuna tumaini katika Bwana …
5Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Kristo.
6Ndugu, tunawaagiza katika Jina la …
6Basi, yeye afundishwaye katika neno …
7Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.
8Apandaye kwa mwili, katika mwili …
12"Tazama, naja upesi! Thawabu yangu …
13Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
14"Wamebarikiwa wale wafuao mavazi yao, …
15Angalieni kuwa mtu asimlipe mwenzake …
16Furahini siku zote;
17ombeni bila kukoma;
1Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea.
2Naomba mpokeeni katika Bwana ipasavyo …
9" ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi …
10Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya efa45:10 Efa ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vikavu ambacho ni sawa na omeri 10; efa 1 ni sawa na kilo 22. na bathi.45:10 Bathi ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vya humiminika ambacho ni sawa na 1/10 ya homeri; homeri 1 ni bathi 10 au efa 10.
11Efa na bathi viwe sawa, bathi iwe sehemu ya kumi ya homeri na efa iwe sehemu ya kumi ya homeri, homeri itakuwa ndicho kiwango cha kukubalika kwa vyote viwili.
3Wakati ninapoogopa,
4Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,
5Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu,
4Kwa kuwa alisulubiwa katika udhaifu, …
5Jichunguzeni wenyewe mwone kama mnaishi katika imani. Jipimeni wenyewe. Je, hamtambui ya kuwa Yesu Kristo yumo ndani yenu? Kama sivyo, basi, mmeshindwa kufikia kipimo hicho!
6Natumaini mtaona kuwa sisi hatukushindwa.
11Ni Luka peke yake aliye …
12Nimemtuma Tikiko huko Efeso.
13Utakapokuja, niletee lile joho nililoliacha …
1Wakati ule Bwana aliniambia, "Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza uje kwangu juu mlimani. Pia utengeneze Sanduku la mbao.
2Nitaandika juu ya vibao maneno …
11sawasawa na kusudi lake la …
12Ndani yake na kwa njia ya imani katika yeye twaweza kumkaribia Mungu kwa uhuru na kwa ujasiri.
13Kwa hiyo, nawaomba msikate tamaa …
13Kwa kuwa hukumu bila huruma …
14Ndugu zangu, yafaa nini ikiwa mtu atadai kuwa anayo imani lakini hana matendo? Je, imani kama hiyo yaweza kumwokoa?
15Ikiwa ndugu yako au dada …
1Wapenzi, huu ndio waraka wangu wa pili ninaowaandikia. Katika nyaraka hizi mbili ninajaribu kuziamsha nia zenu safi kwa mawazo makamilifu.
2Nataka ninyi mkumbuke maneno yaliyosemwa …
14Ninajua tena nimehakikishiwa sana katika …
15Kama ndugu yako anahuzunishwa kwa sababu ya kile unachokula, basi huenendi tena katika upendo. Usiruhusu kile unachokula kiwe sababu ya kumwangamiza ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.
16Usiruhusu kile ambacho unakiona kuwa …