Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

114 resultados encontrados

  1. 1 Coríntios 16

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículo 2 de 24

    2Siku ya kwanza ya kila juma, kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha, kulingana na mapato yake na fedha hizo aziweke akiba, ili nitakapokuja pasiwe na lazima ya kufanya mchango.

  2. 1 Timóteo 6

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículo 10 de 21

    10Kwa maana kupenda fedha ndiyo shina moja la maovu ya kila namna. Baadhi ya watu wakitamani fedha, wameiacha imani na kujichoma wenyewe kwa maumivu mengi.

  3. Filipenses 4

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 5–23 de 23

    5Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu.

    20Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen.

    23Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  4. Êxodo 16

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 16
    Mostrando versículos 11–36 de 36

    11Bwana akamwambia Mose,

    36(Pishi moja ni sehemu ya kumi ya kipimo cha efa.16:36 Efa moja ni sawa na kilo 22.)

  5. 1 Tessalonicenses 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículos 16–28 de 28

    16Furahini siku zote;

    17ombeni bila kukoma;

    28Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. Amen.

  6. Ezequiel 45

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 45
    Mostrando versículos 10–13 de 25

    10Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya efa45:10 Efa ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vikavu ambacho ni sawa na omeri 10; efa 1 ni sawa na kilo 22. na bathi.45:10 Bathi ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vya humiminika ambacho ni sawa na 1/10 ya homeri; homeri 1 ni bathi 10 au efa 10.

    11Efa na bathi viwe sawa, bathi iwe sehemu ya kumi ya homeri na efa iwe sehemu ya kumi ya homeri, homeri itakuwa ndicho kiwango cha kukubalika kwa vyote viwili.

    13" ‘Hili ndilo toleo maalum mtakalotoa: moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya ngano na moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya shayiri.

  7. Filemom 1

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 1
    Mostrando versículos 2–25 de 25

    2kwa dada yetu mpendwa Afia, kwa Arkipo askari mwenzetu na kwa kanisa lile likutanalo nyumbani mwako:

    23Epafra, aliye mfungwa mwenzangu katika Kristo Yesu, anakusalimu.

    25Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

  8. Deuteronômio 5

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 5
    Mostrando versículo 25 de 33

    25Lakini sasa, kwa nini tufe? Moto huu mkubwa utatuteketeza sisi na tutakufa kama tukiendelea kusikia sauti ya Bwana Mungu wetu zaidi.

  9. 2 Tessalonicenses 3

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 3
    Mostrando versículos 8–18 de 18

    8wala hatukula chakula cha mtu yeyote pasipo kukilipia. Badala yake tulifanya kazi kwa bidii usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote miongoni mwenu.

    11Kwa kuwa tunasikia kwamba baadhi ya watu miongoni mwenu ni wavivu. Hawafanyi kazi bali hujishughulisha na mambo ya wengine.

    18Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amen.

  10. 2 Timóteo 4

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículo 12 de 22

    12Nimemtuma Tikiko huko Efeso.

  11. Efésios 6

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 6
    Mostrando versículos 20–24 de 24

    20ambayo mimi ni balozi wake katika vifungo. Ombeni ili nipate kuhubiri kwa ujasiri kama inipasavyo.

    23Amani iwe kwa ndugu, na pendo pamoja na imani kutoka kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo.

    24Neema iwe na wote wampendao Bwana wetu Yesu Kristo kwa upendo wa dhati. Amen.

  12. Deuteronômio 10

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 10
    Mostrando versículos 18–20 de 22

    18Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.

    19Nanyi wapendeni wageni, kwa kuwa ninyi wenyewe mlikuwa wageni huko Misri.

    20Mche Bwana Mungu wako na umtumikie yeye. Shikamana naye kwa uthabiti na kuapa kwa jina lake.

  13. Provérbios 24

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 24
    Mostrando versículos 3–26 de 34

    3Kwa hekima nyumba hujengwa,nayo kwa njia ya ufahamu huimarishwa

    4kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwavitu vya thamani na vya kupendeza.

    26Jawabu la uaminifuni kama busu la midomoni.

  14. Josué 12

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 12
    Mostrando versículo 8 de 24

    8nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):

  15. 1 Coríntios 4

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 4
    Mostrando versículos 2–21 de 21

    2Tena, litakiwalo ni mawakili waonekane kuwa waaminifu.

    15Hata kama mnao walimu 10,000 katika Kristo, lakini hamna baba wengi. Mimi nilikuwa baba yenu katika Kristo Yesu kwa kuwaletea Injili.

    21Ninyi amueni. Je, nije kwenu na fimbo, au nije kwa upendo na kwa roho ya upole?

  16. 2 Coríntios 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículos 5–14 de 14

    5Jichunguzeni wenyewe mwone kama mnaishi katika imani. Jipimeni wenyewe. Je, hamtambui ya kuwa Yesu Kristo yumo ndani yenu? Kama sivyo, basi, mmeshindwa kufikia kipimo hicho!

    11Hatimaye, ndugu zangu, kwaherini. Kuweni wakamilifu, mkafarijike, kuweni wa nia moja, kaeni kwa amani. Naye Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.

    14Neema ya Bwana Yesu Kristo, na upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu ukae nanyi nyote. Amen.

  17. Provérbios 13

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 13
    Mostrando versículo 5 de 25

    5Mwenye haki huchukia uongo,bali waovu huleta aibu na fedheha.

  18. Atos 24

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 24
    Mostrando versículo 2 de 27

    2Paulo alipoitwa aingie ndani, Tertulo akaanza kutoa mashtaka akisema, "Mtukufu Feliksi, kwa muda mrefu tumefurahia amani na matengenezo mengi mazuri yamefanywa kwa ajili ya watu hawa kwa sababu ya upeo wako wa kuona mambo ya mbele.

  19. Atos 25

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 25
    Mostrando versículo 1 de 27

    1Siku tatu baada ya Festo kuwasili Kaisaria kuchukua wajibu wake mpya, alipanda kwenda Yerusalemu,

  20. Salmos 44

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 44
    Mostrando versículo 12 de 26

    12Umewauza watu wako kwa fedha kidogo,wala hukupata faida yoyote kwa mauzo yao.

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo