Pular para o conteúdo
Publicidade

Resultados da busca por "fé"

128 resultados encontrados

  1. Isaías 31

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 31
    Mostrando versículos 2–6 de 9

    2Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa,wala hayatangui maneno yake.Yeye atainuka dhidi ya nyumba ya mwovu,dhidi ya wale ambao huwasaidia watenda mabaya.

    3Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu,farasi wao ni nyama, wala si roho.Wakati Bwana atakaponyoosha Mkono wake,yeye anayesaidia atajikwaa,naye anayesaidiwa ataanguka,wote wawili wataangamia pamoja.

    6Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.

  2. Provérbios 7

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 7
    Mostrando versículos 3–19 de 27

    3Yafunge katika vidole vyako;yaandike katika kibao cha moyo wako.

    16Nimetandika kitanda changukwa kitani za rangi kutoka Misri.

    19Mume wangu hayupo nyumbani;amekwenda safari ya mbali.

  3. Salmos 115

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 115
    Mostrando versículos 3–18 de 18

    3Mungu wetu yuko mbinguni,naye hufanya lolote limpendezalo.

    15Mbarikiwe na BwanaMuumba wa mbingu na dunia.

    18bali ni sisi tunaomtukuza Bwana,sasa na hata milele.Msifuni Bwana.115:18 Msifuni Bwana ni Kiebrania Hallelu Yah.

  4. Isaías 2

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 2
    Mostrando versículos 5–22 de 22

    5Njooni, enyi nyumba ya Yakobo,tutembeeni katika nuru ya Bwana.

    15kwa kila mnara ulio mrefu sanana kila ukuta wenye ngome,

    22Acheni kumtumainia mwanadamu,ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake.Yeye ana thamani gani?

  5. Salmos 66

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 66
    Mostrando versículos 1–8 de 20

    1Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!

    5Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda,mambo ya kutisha aliyoyatendamiongoni mwa wanadamu!

    8Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu,sauti ya sifa yake isikike,

  6. Isaías 52

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 52
    Mostrando versículos 1–11 de 15

    1Amka, amka, ee Sayuni,jivike nguvu.Vaa mavazi yako ya fahari,ee Yerusalemu, mji mtakatifu.Asiyetahiriwa na aliye najisihataingia kwako tena.

    2Jikungʼute mavumbi yako,inuka, uketi kwenye kiti cha enzi, ee Yerusalemu.Jifungue minyororo iliyo shingoni mwako,ee Binti Sayuni uliye mateka.

    11Ondokeni, ondokeni, tokeni huko!Msiguse kitu chochote kilicho najisi!Tokeni kati yake mwe safi,ninyi mchukuao vyombo vya Bwana.

  7. Salmos 135

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 135
    Mostrando versículos 1–19 de 21

    1Msifuni Bwana.Lisifuni jina la Bwana,msifuni, enyi watumishi wa Bwana,

    8Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.

    19Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana;ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;

  8. Isaías 60

    Toleo Wazi la Neno: Biblia Takatifu
    Capítulo 60
    Mostrando versículos 6–22 de 22

    6Makundi ya ngamia yatajaa katika nchi yako,ngamia vijana wa Midiani na Efa.Nao wote watokao Sheba watakuja,wakichukua dhahabu na uvumbana kutangaza sifa za Bwana.

    8"Ni nani hawa warukao kama mawingu,kama hua kuelekea kwenye viota vyao?

    22Aliye mdogo kwenu atakuwa elfu,mdogo kuliko wote atakuwa taifa lenye nguvu.Mimi ndimi Bwana;katika wakati wake nitayatimiza haya upesi."

Léxico (correspondência exata) Semântico (correspondência relacionada) Versículos omitidos Contexto do capítulo