14 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote:
"Kwa sababu watu hawa wamesema maneno haya,
nitayafanya maneno yangu vinywani mwenu kuwa moto,
na watu hawa wawe kuni
zinazoliwa na huo moto.
14 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote:
"Kwa sababu watu hawa wamesema maneno haya,
nitayafanya maneno yangu vinywani mwenu kuwa moto,
na watu hawa wawe kuni
zinazoliwa na huo moto.