13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;
mshike, maana yeye ni uzima wako.
14 Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu
wala usitembee katika njia ya watu wabaya.
13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;
mshike, maana yeye ni uzima wako.
14 Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu
wala usitembee katika njia ya watu wabaya.