8 Ndipo Naomi akawaambia wale wakwe zake wawili, "Rudini, kila mmoja wenu nyumbani kwa mama yake. Bwana na awatendee fadhili kama mlivyowatendea hao waliofariki, na pia mimi.
8 Ndipo Naomi akawaambia wale wakwe zake wawili, "Rudini, kila mmoja wenu nyumbani kwa mama yake. Bwana na awatendee fadhili kama mlivyowatendea hao waliofariki, na pia mimi.