Pular para o conteúdo
Publicidade

Zekaria 11

12 Nikawaambia, "Mkiona kuwa ni vyema, nipeni ujira wangu, la sivyo, basi msinipe." Kwa hiyo wakanilipa vipande thelathini vya fedha.

13 Naye Bwana akaniambia, "Mtupie mfinyanzi," hiyo bei nzuri waliyonithaminia! Kwa hiyo nikachukua hivyo vipande thelathini vya fedha na kumtupia huyo mfinyanzi katika nyumba ya Bwana.

Veja também