3 Kwa maana yale niliyopokea ndiyo niliyowapa ninyi, kama yenye umuhimu wa kwanza: Kwamba Al-Masihi alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama Maandiko yanavyosema, 4 ya kuwa alizikwa na alifufuliwa siku ya tatu, kama Maandiko yanavyosema,
3 Kwa maana yale niliyopokea ndiyo niliyowapa ninyi, kama yenye umuhimu wa kwanza: Kwamba Al-Masihi alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama Maandiko yanavyosema, 4 ya kuwa alizikwa na alifufuliwa siku ya tatu, kama Maandiko yanavyosema,